For those who fall in love with someone here

For those who fall in love with someone here

Najua kuwa popote kwenye mkutano wa watu wa aina yoyote ile huwezi kuepuka baadhi ya watu kuvutiana kimapenzi
Hilo liko wazi

Kwenye hili ninalolizungumza hapa nadhani wengi walishasema lakini leo na mimi paroko nimeona niseme kutokana na kituko kilichotokea majuzi tu

Hapa watu wanakutana kwenye kujadili mambo mbali mbali hasa ya kimahusiano na mara nyingine utani na jambo hilo huoelekea baadhi ya watu kuanza kumuwaza mtu fulani kuwa ni wa aina gani kitendo kinachopelekea kuanza kuhisi kuvutiwa nae

Hili sio baya na ni kawaida kabisa na naliunga mkono

Lakini kuna jambo nataka niwahusie hawa watu wanaojikuta wanaingia kwenye kuvutiwa na watu hapa

Kwanza fahamuni kuwa hapa ni mahali ambapo mtu anaweza ku act au kwa kiswahili anaweza kuigiza tabia fulani na watu wakadhani ndivyo alivyo,kwa wale ambao ni watu wazima na wanafikiria vyema hili watakua wanalijua kabisa

Ni vyema sana mkawa makini sana na hawa watu hasa kama umeanza kuhisi kuvutiwa na mtu huyo,unaweza kumuona mfano Eiyer ni mtu mpole na mshauri mzuri kumbe kwenye maisha ya kawaida ni mtu ambae hata kumuita rafiki hafai ahilia mbali mpenzi hivyo ni vyema sana kuwa makini sana na udanganyifu huu

Jmambo lingime ni kuwa unaweza kuvutiwa na mtu hapa na ukaanza kujenga kwenye fikra zako jambo ambalo litakufanya uwe na matarajio fulani kwako.Unaweza kudhani labda mtu huyo ana elimu fulani,kazi fulani au uwezo wa kifedha wa aina fulani kumbe ni mtu wa kawaida sana na kiwango chake chake cha elimu na kipato ni karibu na kile cha chini kabisa na unapenda kukutana nae unaanza kujilaumu au kukata mawasiliano nae kisa umemuona sio kama vile ulivyokuwa unadhania

Ni vyema kusiwe na matarajio yoyote yale kwenu ili kuepusha haya matatizo lakini pia kama unahitaji mtu mwenye kiwango fulani kifedha au kielimu si uwatafute hao ambao unawaona huko kuliko kuja kuingia kwenye msongo wa mawazo kwa mtu usie mjua vizuri?

Ndugu zangu ninasema haya baada ya kijana mmoja ambae mimi ndie niliyemsababisha kujiunga JF kuingia kwenye mahusiano hapa kwa aina hii na member mmoja na baada ya kuonana dogo alinifuata na kuanza kulalamika na hapo hapo nilimpa za uso kwa kumueleza kuwa kama alikua anahitaji mwanamke wa viwango fulani si angewatafuta huko anaowajua na kuwaona?

Dogo hana hamu kabisa

Kama umevutiwa na mtu mfano nimevutiwa na Husninyo kama nahitaji mwanamke mwenye digrii kwanini nisimuulize kama anayo ili kama hana nichape lapa mapema?

Kama umevutiwa mfano na Eiyer na kilichokufanya ukavutiwa nae ni upole anaouonesha kwenye michango yake kwanini usitumie muda wako kukagua kama hayupo fake na ukajiridhisha?

Jamani hebu jaribuni kuwa makini na hii ili kepusha usumbufu usiohitajika

Kama umevutiwa na mtu kwasababu ya tabia fulani usijiingize kichwakichwa unaweza kujiingiza kwa jambazi halafu ukaja kumtafuta wa kumlaumu ukamkosa

Kama umejikuta uko kwenye mahusiano na mtu epuka kuwa na matarajio ya aina yoyote yale au muulize kabisa ili ujiridhishe na kama atakudanganya basi utakuwa na haki ya kumlaumu hapo utakapokuja kugundua sio kama alivyokuambia

Nawatakieni kila ka keri nyote na w/end njema sana kwenu

Nawapendeni nyote lakini sina matarajio yoyote yale kwenu ...Lol

Mbarikiwe...!

Safi sana,Wewe sasa ndio baba Paroko, mwingine fake!!!
Asante mkuu Eiyer...Ujumbe umefika, Asomaye na Afahamu
 
Eiyer wewe ni tembo kama nikisema kiboko sitakutendea haki. Hiyo staili hata mimi huwa naitumia sana kupata dem ninaemhitaji, manake kwanza unatengeneza urafiki na kujifanya km mtu mwenye kujali sana ustawi wa maisha yake kisha hatimae kiulaiiiini anakuja mwenyewe kama mbwa kwa chatu. Bgup baba paroko.
 
Najua kuwa popote kwenye mkutano wa watu wa aina yoyote ile huwezi kuepuka baadhi ya watu kuvutiana kimapenzi
Hilo liko wazi

Kwenye hili ninalolizungumza hapa nadhani wengi walishasema lakini leo na mimi paroko nimeona niseme kutokana na kituko kilichotokea majuzi tu

Hapa watu wanakutana kwenye kujadili mambo mbali mbali hasa ya kimahusiano na mara nyingine utani na jambo hilo huoelekea baadhi ya watu kuanza kumuwaza mtu fulani kuwa ni wa aina gani kitendo kinachopelekea kuanza kuhisi kuvutiwa nae

Hili sio baya na ni kawaida kabisa na naliunga mkono

Lakini kuna jambo nataka niwahusie hawa watu wanaojikuta wanaingia kwenye kuvutiwa na watu hapa

Kwanza fahamuni kuwa hapa ni mahali ambapo mtu anaweza ku act au kwa kiswahili anaweza kuigiza tabia fulani na watu wakadhani ndivyo alivyo,kwa wale ambao ni watu wazima na wanafikiria vyema hili watakua wanalijua kabisa

Ni vyema sana mkawa makini sana na hawa watu hasa kama umeanza kuhisi kuvutiwa na mtu huyo,unaweza kumuona mfano Eiyer ni mtu mpole na mshauri mzuri kumbe kwenye maisha ya kawaida ni mtu ambae hata kumuita rafiki hafai ahilia mbali mpenzi hivyo ni vyema sana kuwa makini sana na udanganyifu huu

Jmambo lingime ni kuwa unaweza kuvutiwa na mtu hapa na ukaanza kujenga kwenye fikra zako jambo ambalo litakufanya uwe na matarajio fulani kwako.Unaweza kudhani labda mtu huyo ana elimu fulani,kazi fulani au uwezo wa kifedha wa aina fulani kumbe ni mtu wa kawaida sana na kiwango chake chake cha elimu na kipato ni karibu na kile cha chini kabisa na unapenda kukutana nae unaanza kujilaumu au kukata mawasiliano nae kisa umemuona sio kama vile ulivyokuwa unadhania

Ni vyema kusiwe na matarajio yoyote yale kwenu ili kuepusha haya matatizo lakini pia kama unahitaji mtu mwenye kiwango fulani kifedha au kielimu si uwatafute hao ambao unawaona huko kuliko kuja kuingia kwenye msongo wa mawazo kwa mtu usie mjua vizuri?

Ndugu zangu ninasema haya baada ya kijana mmoja ambae mimi ndie niliyemsababisha kujiunga JF kuingia kwenye mahusiano hapa kwa aina hii na member mmoja na baada ya kuonana dogo alinifuata na kuanza kulalamika na hapo hapo nilimpa za uso kwa kumueleza kuwa kama alikua anahitaji mwanamke wa viwango fulani si angewatafuta huko anaowajua na kuwaona?

Dogo hana hamu kabisa

Kama umevutiwa na mtu mfano nimevutiwa na Husninyo kama nahitaji mwanamke mwenye digrii kwanini nisimuulize kama anayo ili kama hana nichape lapa mapema?

Kama umevutiwa mfano na Eiyer na kilichokufanya ukavutiwa nae ni upole anaouonesha kwenye michango yake kwanini usitumie muda wako kukagua kama hayupo fake na ukajiridhisha?

Jamani hebu jaribuni kuwa makini na hii ili kepusha usumbufu usiohitajika

Kama umevutiwa na mtu kwasababu ya tabia fulani usijiingize kichwakichwa unaweza kujiingiza kwa jambazi halafu ukaja kumtafuta wa kumlaumu ukamkosa

Kama umejikuta uko kwenye mahusiano na mtu epuka kuwa na matarajio ya aina yoyote yale au muulize kabisa ili ujiridhishe na kama atakudanganya basi utakuwa na haki ya kumlaumu hapo utakapokuja kugundua sio kama alivyokuambia

Nawatakieni kila ka keri nyote na w/end njema sana kwenu

Nawapendeni nyote lakini sina matarajio yoyote yale kwenu ...Lol

Mbarikiwe...!

Eiyer Baba Paroko mi nina swali..Hivi uyo dogo aliyekuja kulialia kwako, yey huko PM na uyo mrembo walikua hawatumiani picha kabla ya kuonana???Maana Hii inanikumbusha wakati nipo A-level 2006, kuna rafiki yangu aliingia kingi kwa kwa sauti ya mrembo kwenye simu na jina lake lilikua zuri, waliwasiliana miezi mitatu, ila alipotumiwa picha, Mi nilicheka hadi nililia aisee
 
Tulia mkuu, mi nadhan ni utani tu si kweli, juu ya hilo nimejifunza kuwa ww ni mtu ambae ni rahisi kuwa "irritated"!! Pole sana.


Sent from my iPhone using JamiiForums app.

thanks.. human behaviours are different. ndio maana kuna kusoma saikolojia ya mtu kabla hujaishi/kuongea nae.

si kila mtu ni wa kutania kirahisi rahisi hivyo.. goodday..
 
mkuu Eiyer asante sana kwa maelezo ya kina lkn wewe sio mpole lol....... Ni kweli kabisa wengine wamejikuta wakivutiwa na watu kwa michango yao au picha walizoweka kwenye avator zao. Wameweka matuamaini makubwa sana juu ya watu wanaowatamani wanasahau kabisa kwamba watu walioko jf wengine ni hao wanaowazunguka hapo mtaani kwao au ofisini kwao. Tena wenye tabia tofauti tofauti zingine zenye kukera na tabia zingine zenye kuvutia.

Wapendwa kuweni makini na kama umevutiwa na mtu flani si vibaya bali jipe muda wa kumjua mtu huyo vizuri. Sipendi kusema kuwa mahusiano yanayoanzia kwenye mitandao si mazuri la hasha kwani kuna wengine wamepata familia bora kupitia hii mitandao na nafikiri tumeona kwa nyakati tofauti tofauti shuhuda mbali mbali.
 
haya mkuu, tumekusikia. ila kuna kabinti humu nakapeeeeenda. siku hizi simuoni, nikionaga posts zake tu najisikia freshh. har har har har har,
 
Wakati mwingine JF inashangaza sana

Avatar fake,michango fake hadi watu fake!!
Je wewe pia ni fake just kidding lol , watu sio fake ni halisi isipokua wanaweza kuact tabia au mambo ambayo si uhalisia wao.
 
Ushauri mzuri sana...Haya bna ila mimi kuna moja Mbingu duniani, sijui kwa nini ila basi tu... najua hata ile avatar si yake ila bado anavoandika hua mapigo yanaenda mbiyo... em ngoja nifikirie kufuata ushauri wako nione ka itawezekana... Ila sijui
 
mkuu Eiyer asante sana kwa maelezo ya kina lkn wewe sio mpole lol....... Ni kweli kabisa wengine wamejikuta wakivutiwa na watu kwa michango yao au picha walizoweka kwenye avator zao. Wameweka matuamaini makubwa sana juu ya watu wanaowatamani wanasahau kabisa kwamba watu walioko jf wengine ni hao wanaowazunguka hapo mtaani kwao au ofisini kwao. Tena wenye tabia tofauti tofauti zingine zenye kukera na tabia zingine zenye kuvutia.

Wapendwa kuweni makini na kama umevutiwa na mtu flani si vibaya bali jipe muda wa kumjua mtu huyo vizuri. Sipendi kusema kuwa mahusiano yanayoanzia kwenye mitandao si mazuri la hasha kwani kuna wengine wamepata familia bora kupitia hii mitandao na nafikiri tumeona kwa nyakati tofauti tofauti shuhuda mbali mbali.

Jamani Madam kwani mi mkali?
Mi mpole bana ....lol!!

Asante sana kwa kuongeaza neno jema mama
Barikiwa!!
 
haya mkuu, tumekusikia. ila kuna kabinti humu nakapeeeeenda. siku hizi simuoni, nikionaga posts zake tu najisikia freshh. har har har har har,

Funguka tu mkuu ila ndio hivyo kuwa makini!
 
Wanaa adamu wengine wakohapa kujarbu n walikotoka wanawake zaoau waume zao na kama si hivyo wana anao wapenda
Ataongea vyema hap umb na lak moyoni .
wengine wanatka kuogeza namba ya waliotoka nao na wengine wanatak mtu wa kumpenda hapo ndo shughuli inapoanzia wake za watu wame za watu wapo hapa lakini watembea bia pete uakutana ae uajua ssameat kumbe ana mtuwake unagundua hilo tayra ushampenda ingehauri tuwe wakeli
 
Wanaa adamu wengine wakohapa kujarbu n walikotoka wanawake zaoau waume zao na kama si hivyo wana anao wapenda
Ataongea vyema hap umb na lak moyoni .
wengine wanatka kuogeza namba ya waliotoka nao na wengine wanatak mtu wa kumpenda hapo ndo shughuli inapoanzia wake za watu wame za watu wapo hapa lakini watembea bia pete uakutana ae uajua ssameat kumbe ana mtuwake unagundua hilo tayra ushampenda ingehauri tuwe wakeli

Mkuu inaonekana una mawazo mazuri sana lakini una haraka sana ya kuandika matokeo yake unakosea na kumis spelling hebu punguza papara halafu uandike vyema!
 
Jamani Madam kwani mi mkali?
Mi mpole bana ....lol!!

Asante sana kwa kuongeaza neno jema mama
Barikiwa!!
Hahahahaha sasa si mpaka watu wakwambieee , mbona wewe unajifagilia mwenyewe tutaaminije weka picha.

Stay blessed.
 
Back
Top Bottom