Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 98,016
- 142,778
unajua kuna wanawake hawaelewi haya...especially hilo la simu.a week tangu tuanze kua serious na ni mimi tu ninaepiga simu na msgs zinajibiwa baada ya masaa nane!!???i will take it as a one sided relationship ambayo binafsi siwez kaa.
If you are reaLly THAT good i will just get in ur pants na hutoniona tena!
lazima wote tuonyeshe kuutaka sana uhusiano hata kama ni mimi nilieshawishi mwanzo.sipendi mwanamke mwenye mashauzi ya kitoto hivi...anakua HAJIELEWI
Mimi wa hivyo huwa natupa kule haraka sana.
Mtu kaiona kabisa meseji yako, kaisoma, na hana jambo la maana analofanya la kumfanya asikujibu palepale lakini hakujibu hadi labda kesho yake!
No bueno.
Cut her loose and keep it moving.