For the lazy ass dudes


heri yangu mimi mpiga matizi tena yale magumu haswaa
 
mkuu usicheke hii hili suala ni nyeti sana, tena sana.

Si huwa unasikia baadhi ya wanawake wakilalama kuwa bongo hakuna wanaume?

Na wanaume wa dar wanashauri eti ni bora kwenda kuoa "mkoani"?

mkuu EMT samahani kwa kucheka msibani. Unajua ulivyo sema wanaume wa dar nime kumbuka kuna thread moja niliiona pahala mtoa mada alikuwa ana lalamika kuwa wanaume wa dar ni dhaifa sana na alikwenda mbali zaidi kuwa heti wanatembea kimdebwedo kutokana na kutofanya mazoezi.

Kwa swala la kusema ukaoe kijijini ndio suluhu ni kujidanganya maana hata wa huko vujijini ndio hawapendi kusikia habari za wanaume legelege.

Kwakweli hili ni tatizo kubwa hasa dar.
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:

ni kweli kila mwanamke ana sifa na dizaini ya mwanaume anayempenz pia hata kwa wanaume hvyohvyo but kuna standard kaka
Kwani kua na mkitambi ni sifa?
Ukiwa na mwili unaopemdeza unapungukiwa nn?
Kama aliyoandika huyu dada yamekutachi kwann usiyafanyie kazi?
Do u think sababu mkeo/mpenz wako hakwambii basi anapemdezewa na huo mkitambi au manyama uzembe uliyonayo?
Guys z t bad to learn?
Ths z childish ndugu yangu ukiwa fiti haikupunguzii chochote
Nb ni kwa faida yako ukitaka Fanya ukitaka acha
 
Karucee mi ni mtu wa mazoezi, inafikia atua wife wangu shansarie ananiambia nipunguze..
good thing nina mpango kabambe wa kuandaa tour kwa ajili ya kuupanda mlima Kilimanjaro kwa Wanajf wote wenye willing...

kiwatengu hebu sema kwa herufi kubwa habari ya Mt Kilimanjaro bhana kama unamaanisha hii habri please itikia kwa sauti kubwa na herufi kubwa! !!!!!!!

Haya Karucee fursa hiyoooooo!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Karucee mi ni mtu wa mazoezi, inafikia atua wife wangu shansarie ananiambia nipunguze..
good thing nina mpango kabambe wa kuandaa tour kwa ajili ya kuupanda mlima Kilimanjaro kwa Wanajf wote wenye willing...

kiwatengu hebu sema kwa herufi kubwa habari ya Mt Kilimanjaro bhana kama unamaanisha hii habri please itikia kwa sauti kubwa na herufi kubwa! !!!!!!!

Haya Karucee fursa hiyoooooo!!!!!!!
 
Last edited by a moderator:

Anataka kukomoa watu siku akifa daaamn jeneza zito kama kuna mawe!!!!!
 
Last edited by a moderator:
nikiwa sina stress mwili unakuwa poa tu stable........ila nikiwa nazo aisee hasa stress za mapenzi
nahisi hivi nimepungua ila kidogoooooo

mapenzi janga la taifa kuna kamsemo wanasema mapenzi ulaya aafrika biashara,back to the topic watu wanapaswa wajue kwamba kupunguza kilo ni kazi kuliko kuziongeza so in whatever we r doing we should kip that in our mind!
 
kiwatengu hebu sema kwa herufi kubwa habari ya Mt Kilimanjaro bhana kama unamaanisha hii habri please itikia kwa sauti kubwa na herufi kubwa! !!!!!!!

Haya Karucee fursa hiyoooooo!!!!!!!

Perfect. Twenzetu. Aanze kuandika majina.
 
Last edited by a moderator:
yaaah.. namaanisha mkuu, hata jamaa wa arusha wing wanalijua hili, cc. PakaJimmy Arushaone Filipo marejesho.

Am in aseee ngoja kesho nifanye oiling ya bicycle nianze mdogomdogo!!!!!!
Hebu let us get serious on this mkuu,hebu ianzishie thread na tuiombee sticky status ili kupata wadau kwa urahisi na kujua response!!!!!

Ni muhimu kujua mapema ili kujua cost, ratiba za life,mazoezi na mambo kama hayo!!!!

Halafu bunge likae kama kamati for logistic purposes!!!!!
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…