The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,080
Kwamba jamaa ana allergyhuu ni ukweli. Jf nzima wanajua.
Kwamba jamaa ana allergyhuu ni ukweli. Jf nzima wanajua.
Kwamba jamaa ana allergy
Duh! Mbona mimi aliniambia anataka kuwa MTAWAAtakaempata Husninyo kwa tongozo la JF nampa mishahara yangu ya miezi miwili
Hata mimi naona ki-JFkwamba juan nishamuwahi.
Atakaempata Husninyo kwa tongozo la JF nampa mishahara yangu ya miezi miwili
Hata mimi naona ki-JF
Ikija kwangu ujue hairudi inakuwa imetoka hiyo lolkiukwelii. Kuna pm ya juan naiandaa, nitaiforwad kwako uiedit halaf iforwad kwa cpu aweke weke maua. Cpu atairudisha kwangu, halafu nitaituma.
Ikija kwangu ujue hairudi inakuwa imetoka hiyo lol
Duh! Mbona mimi aliniambia anataka kuwa MTAWA
hahahaha! Halafu Wewe! Ukinipata wewe je? Mishahara yako nachukua mimi. Lol!
kiukwelii. Kuna pm ya juan naiandaa, nitaiforwad kwako uiedit halaf iforwad kwa cpu aweke weke maua. Cpu atairudisha kwangu, halafu nitaituma.
Mimi siwezi kukupata, gamba lako litanishinda
Kumbe unaoa kabila? what if hao wanawake woooote hawataki kabila lako? you will dye single. Uache hiyo tabia ya kubagua unajipalia makaa na utakuwa wa kukataliwa tu.
Hizo hela ni zako huna haja ya kutangaza kwamba una hela kuna wanaume wana hela kuliko hiyo yako. Nimegundua una "VILLAGE FLAVOUR NYINGI SANA" Bado hujakua kwa kuangalia tu flow yako. Sorry kama nimekuudhi. omba upako ukushukie ili uwe na lugha tamu.
Ww...!!!! mwanamke hajivui gamba anavuliwa na mwanaume, unajua gamba la kike liko wapi? Finestmi nishajivua gamba. Lol!