Nina mashaka na akili yako kusalitiwa kuna kuzoea nyie wanaume mna tamaa ya ngono na unzinzi wa ajabu basi na nyie msilalamike kushea eti mpo kidogo huna hata haya wewe basi hata wanawake tupo kidogo wingi si hoja kuna wanawake bora,na kuna bora wanawake,kama mlivyo nyoe wanaume kuna wanaume bora,na kuna bora wanaume,galasa wewe huna maana.