Bado dakika ngap bhana au mnahesabu kuanzia kamili...saiz sa sita dak 50 babu si ndo sa saba yenyewe...SAA saba bado we utopolo , nakutumia Malaya hapo wakimboka akuliwaze.
Foleni imeanzia mbezi mwisho mpaka Ubungo jombaa sijui nini shida...masaa manne sasaFly over vip haina msaada?
Blaza au huko mnakaa foleni zaidi ya hii.. Maana hapa lisaa la nne linakatikaMabrazani wa Dar bhana kwa kulia lia na kudeka mmekuwa kama jamaa yenu yule aliyekuwa anaenda kulia mpk makanisani hebu jikazeni kidogo
..This is why i love JFSAA saba bado we utopolo , nakutumia Malaya hapo wakimboka akuliwaze.
Mkuu upo upande gani, hii foleni inanipa stress hadi kichwa kinauma...Watu wanakoroma tu kwenye magari hakuna hata ku-move 1 inch
Sasa leo foleni haitembei tokea ubungo to kibaha....imekua kinyumeHyo njia ya huko mbezi hafai Kuna siku foleni ilianzia karibia chalinze nikifika Dar saa Saba kah
Hivi kwanini hii barabara imekuwa na foleni hvo. Sitakaa niipite hyo njia Tena ni keroSasa leo foleni haitembei tokea ubungo to kibaha....imekua kinyume
Asee pole sana jamaa ya Dar,home unapaona na miguu imeenda wapi mpk unashindwa kufika aseeh!!.. Dar bhana...nalala njian leo na home napaona paleeee....
Mitaa ya temboni kudadadeki na ubungo nimepita sa tatu...dar nahamaMkuu upo upande gani, hii foleni inanipa stress hadi kichwa kinauma...
Foleni imeanzia mbezi mwisho mpaka Ubungo jombaa sijui nini shida...masaa manne sasa
Sasa nawewe unataka nitembee afu gari niliache au unanitafutia sabab ionekane naringishia gariAsee pole sana jamaa ya Dar,home unapaona na miguu imeenda wapi mpk unashindwa kufika aseeh!!
Hiyo "khaaaa " iko vyema sanaPoleeeh sanaah, ila hii road mmmh foleni ni every dai, kuna siku nilikuwa natoka mkoa kuja hapa , tulifika chalinze SAA 2, hiyo foleni sitakaa nisahau ubungo tuliingia SAA 7. Khaaaaaah