ninjajr
Senior Member
- Sep 16, 2023
- 133
- 140
Barabara ya mandela road ilikuwa haifai leo ,foleni Nimeikuta imeanzia uhasibu chuo cha TIA mpk nimekuj kuchepuk njia ya kuingia Tabata,kwa wale tuliopita hii njia nahisi mmekutana nacho, nimejaribu kuchepukia njia ya mchicha ili niingilie njia ya uhuru wapi, kwenyewe ndo kabisa gari zilikuwa hazitembei Ikanibidi nirud teena niitafute sokota ili niingie service road, mpaka natoboa Tazara nimekaa kile kipande Si chini ya lisaa na nusu.
Vivyo hivo kweny kipande cha kutafuta mataa ya Tabata Si chini ya dkk 45.Nimetoka pale nikaend kupamban na foleni ya kuitafuta segerea mwisho unachipua mkono wa kushoto pale mataa ya Tabata na kwenyewe nimekaa sii chini ya dkk 40.
Mpk nafika home ni huruma imenibidi nilale kweny gari kabla ya kushuka mwili wote ganzi.
Kinachochosha zaidi safari ya nusu Saa nimetumia masaa matatu, naukisema utumie usafiri wa umma jiandae kuwa jack chain lasivyo uwe na hela ya kupanda boda boda kila siku, ukiwa mzembe ni kufik home midnight kila siku.
Vivyo hivo kweny kipande cha kutafuta mataa ya Tabata Si chini ya dkk 45.Nimetoka pale nikaend kupamban na foleni ya kuitafuta segerea mwisho unachipua mkono wa kushoto pale mataa ya Tabata na kwenyewe nimekaa sii chini ya dkk 40.
Mpk nafika home ni huruma imenibidi nilale kweny gari kabla ya kushuka mwili wote ganzi.
Kinachochosha zaidi safari ya nusu Saa nimetumia masaa matatu, naukisema utumie usafiri wa umma jiandae kuwa jack chain lasivyo uwe na hela ya kupanda boda boda kila siku, ukiwa mzembe ni kufik home midnight kila siku.