Heaven on Earth
JF-Expert Member
- Mar 21, 2013
- 37,226
- 26,716
Hii foleni ni balaa tangu saa 11.47 alfajiri niko Ubungo Oilcom lakini muda wote huo hadi sa hivi 12.40 ndo nimefika Ubungo plaza reporting time kazini ni saa moja na naelekea mjini lakini ndio kwanza niko hapa sijui nafika saa ngapi, huyu mwajiri atachoka kunielewa.
Mabasi yanayotoka stand kuu nayo yanaenda kupitia kule Shekilango inazidi kuongeza msururu wa foleni
Natamani hata kupaa kwa kweli
Mabasi yanayotoka stand kuu nayo yanaenda kupitia kule Shekilango inazidi kuongeza msururu wa foleni
Natamani hata kupaa kwa kweli