mohamedidrisa789
JF-Expert Member
- Jun 20, 2015
- 5,111
- 21,657
Ak-47 ndo Baba yao
Hivi hizo bunduki serikali inaruhusu kumiliki mtu binafsi?
Zitakuwa zimepitwa na wakati..Zipo nyingi sana kwenye kambi za majeshi yetu zilitekwa kutoka Uganda baada ya kumpiga IDD amin 1977
kazuie risasi zake kwa matako uone!!Zitakuwa zimepitwa na wakati..
Ile inaitwa pump actionKuna zile uzi zenye shepu kama fimbo ya golf ila zenywe fupi kidogo, utawaona nazo hawa makamanda wa makampuni ya ulinzi shirikishi. Risasi zake kubwakubwa na zinafuata harufu ya damu.
Na washawasha!
Kwel kabisa..hii ndo ukiikoki ukaiangusha kwa bahati mbaya basi mtatafutana maana itajipiga yenyewe itazunguka hadi risasi zitakapo kwishaUzi ni bunduki ilikuwa ikitumiaka Mara kwa Mara na makondoo wa mianvuli..
Ile bunduki ni rahisi kuihandle lakn ni siraha inayoitaji umakini wa hali ya juu sana ..
Ukiikosea kidogo inaweza kuleta madhara makubwa sana
AK47 ni bunduki ya kawaida kama SMG tu.Ak-47 ndo Baba yao
Mkuu unanitisha aiseeAK47 ni bunduki ya kawaida kama SMG tu.
Kwa level Tanzania ya bunduki ya kuogopa ni LMG(ile ya mkanda wa risasi), pia G3 nayo inatisha maana ikipiga mtu inaharibu beyond repair
Nazo ni bunduki za masafa mafupi na pia za kawaida tu hazitishi sana japo zinaweza beba risasi nyingi kama sikosei app.30-32 bulletsVipi kuhusu Mac-10 na Mac-11. Huwa naona nazo zinatema moto si mchezo. Afu zinapendwa sana na drug dealers.
AK47 ni bunduki ya kawaida kama SMG tu.
Kwa level Tanzania ya bunduki ya kuogopa ni LMG(ile ya mkanda wa risasi), pia G3 nayo inatisha maana ikipiga mtu inaharibu beyond repair
Hiyo ni siraha ya kivita, hairuhusiwi kumilikiwa na mtu binafsi!Hivi hizo bunduki serikali inaruhusu kumiliki mtu binafsi?
Zina sifa ya kutoa risasi kwa kutawanya, hivyo kuzifanya ziwe na sifa kubwa ya kuzuia mashambulizi badala ya kulenga target!Vipi kuhusu Mac-10 na Mac-11. Huwa naona nazo zinatema moto si mchezo. Afu zinapendwa sana na drug dealers.