Kwani Jibu linakuwa na Question mark?Unauliza jibu au swali?
In God we Trust
Kwani Jibu linakuwa na Question mark?Unauliza jibu au swali?
In God we Trust
shida ni flyover au drainage systemTumeshuhudia mvua iliyonyesha leo hii jijini dsm na kusababisha baadhi ya maeneo kufurika maji na kuhatarisha usalama wa watumiaji pia na miundo mbinu husika iliyojengwa kwa pesa za mvuja jasho
Hapo pichani ni Tazara flyover tazameni hali ilivyo kwa mvua moja tu ya leo!View attachment 1036989
In God we Trust
Drainage system dar tatizo suggestTumeshuhudia mvua iliyonyesha leo hii jijini dsm na kusababisha baadhi ya maeneo kufurika maji na kuhatarisha usalama wa watumiaji pia na miundo mbinu husika iliyojengwa kwa pesa za mvuja jasho
Hapo pichani ni Tazara flyover tazameni hali ilivyo kwa mvua moja tu ya leo!View attachment 1036989
In God we Trust
. Feasibility study, uchambuzi yakinifu, hufanywa na hutumia hela nyingi. Matokeo ndio kama hayo.Hivi hakunaga mhandisi mkazi, ambae wanapokuja wakandarasi wakigeni awaambie mazingira huwa yanakuwaje kipindi cha mvua ili wanapotutengenezea hizi barabara basi pasijekutokea mambo kama haya?
Mkandarasi mzawa,asiyejuwa historia ya mazingira katika majira yote ya mwaka,najua patadhughulikiwa baada ya dosari hizi kuonekana...
Sent using Jamii Forums mobile app
SolowenyoooooooWabongo muwe na shukrani. Tangu darisalama iwepo hii ndiyo flaiova ya kwanza. Huenda ilibuniwa wakati wa kiangazi. Subirini sasa aapishwe waziri wa mambo ya nje amwite balozi aliyefungua hilo flaiova. Atayarekebishaa maji yaende kunakotakiwa kwa kujengewa faliova ya maji
Wabongo muwe na shukrani. Tangu darisalama iwepo hii ndiyo flaiova ya kwanza. Huenda ilibuniwa wakati wa kiangazi. Subirini sasa aapishwe waziri wa mambo ya nje amwite balozi aliyefungua hilo flaiova. Atayarekebishaa maji yaende kunakotakiwa kwa kujengewa faliova ya maji
Haaleee nswanoooooSolowenyooooooo
In God we Trust