Jamani naomba msaada hivi Emirates airline wamepunguza trip zao kwa wiki imekuwa mara 5 tu badala ya daily flights. Kama kuna kuna mtu anajuwa please anaweza kuthibitisha. Hata Qatar airline walikuwa twice daily naona hivi sasa mara moja. Ila hii ya Emirates kidogo nimeshtuka au ndio hali mbaya inaanza kuonekana kila sehemu.