[12:28, 30/04/2015] Cassim: Kaka hakuna habari ya analysis. Mimi long time ni TMT na haya mambo yanazungumzwa sasa hivi nshayapitia sanaaaaa over the years. Watu wataongea kama anavyosema Benard Hopkins lakini mwisho wa siku tunazungumzia boxing IQ/ring generalship na kwenye hilo hakuna kama Floyd. Ukisikiliza hata wale mabondia walipigana nao wote wawili wanakuambia ili Pacman ashinde anahitaji KO na hawaoni itatoka wapi.
[12:28, 30/04/2015] Cassim: Ndio maana sijihusishi kabisa na maneno yanayosemwa kila leo. Toka namuona Floyd first time anapigana na De La Hoya nilishaamua kujoin timu yake.
[12:28, 30/04/2015] Cassim: 47 have tried. 47 have failed.
[12:33, 30/04/2015] Cassim: Hopkins anakuambia trainers huwa wanaongea. Watu wanaangalia mikanda ya opponents wao lakini ukiingia kwenye ring kila kitu kinabadilika. Ni uwezo wa mpiganaji kuadapt na kuadjust kutokana na kinachomkumba ndio unafanya kazi hapo. Floyd is the master when it comes to that. Pacman juzi alikiri amemsoma vizuri Judah. Judah anapigana kwa southpaw stance kama Pacman. Alikutana na Mayweather akasumbua kidogo lakini akaishiwa kudundwa hadi akampiga Money ngumi ya korodani. Rodger na Mayweather Sr. wakaingia ulingoni. Ilikua mtiti si kitoto. Sasa Mayweather huwa haangalii mapambano ya anaopigana nao. Yeye anapiga tizi anaingia ulingoni. Halafu huyo Judah sasa yuko TMT na ni mmoja wa wale sparring partners wa Mayweather kipindi chote hiki cha maandalizi. Pacman anasema amelisoma pambano la Mayweather v Judah wakati Mayweather amekua akia-spar na huyo huyo Judah. Hiyo inakuambia nini?
[12:41, 30/04/2015] Cassim: Unamsoma mtu kupitia opponent ambaye huyo mtu ana-spar naye. Akili gani hiyo? Na Roach ambaye amekua trainer wa Pacman mabondia wake wote wamedundwa na Money. De la Hoya, Cotto, Mosley, Canello........
[12:42, 30/04/2015] Cassim: Ni sawa na De la Hoya wakati Canelo anataka kupigana na Money yeye akasema amempa dogo blueprint ya kumpiga Floyd. Floyd akasema ''Anashangaa jamaa anasema ana blueprint hiyo wakati yeye mwenyewe alidundwa.''
[12:43, 30/04/2015] Cassim: Na kipindi hiki Floyd wala hajachonga. Wale kina Pacman mineno kibao.
[12:48, 30/04/2015] Cassim: Tunazungumza bondia ambaye yuko na tools zote za Sweet Science. Amekamilika. Jab la maana, strong chin, tight defence from which he can switch to offense in a heartbeat, great footwork, lead right hand, nk. Anayepigana naye ni mtu ambaye yuko vizuri kwenye offense na footwork na ni mtu ambaye anastruggle akikutana na technical boxers. Hata kwenye ngumi kuna mafundi Mnemba. Teh! Tusichonge sana. J2 sio mbali.