beefinjector
JF-Expert Member
- Jul 23, 2009
- 2,762
- 2,736
Uwezekano wa yeyote kumpiga mwenzake kwa KO haupo labda yatokee maajabu. Mayweather hajawahi kumpinga mtu kwa KO tangu 2011 alipomtwanga Victor Ortiz, tena baada ya Ortiz kuzubaa akimsubiri refa aendeleze pambano baada ya Ortiz kucheza faulo. Pacquiao naye hajawahi kupata KO toka alipomtwanga Rick Hatton mwaka 2009. Pambano litaenda mpaka raundi ya 12 na mshindi atapatikana kwa pointi.
Sababu nyingine ya kutokuwapo kwa KO ni kwamba penda usipende pambano hili litatawaliwa na politics na business kuliko ngumi. Yatatengenzwa mazingira ya hawa jamaa kurudiana ili watu wapige hela, sasa mtu akipigwa kwa KO credibility ya kutaka rematch haitakuwepo.
Sababu nyingine ya kutokuwapo kwa KO ni kwamba penda usipende pambano hili litatawaliwa na politics na business kuliko ngumi. Yatatengenzwa mazingira ya hawa jamaa kurudiana ili watu wapige hela, sasa mtu akipigwa kwa KO credibility ya kutaka rematch haitakuwepo.