Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

Floyd Money Mayweather vs Manny Pacquiao

 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mnyepe kwani kitakachopigana ni hizo dollars au ni mtu mbili ulingoni?style hiyo ni ya kizamani anaweza hata akafanya mtoto wa nyoka mwenye makengeza (Chenge) akapiga pic na hela za baba'ake akaiweka insta na watu wakapagawa ila huyo Mayweather atapigwa vizuri na atatulia labda unishawishi kwamba hizo hela zake atazitumia kupunguza stress na warembo wakati huo Manny Pacquiao akiwa kwao Filipino akiwaza kugombea urais(kwa sasa kama sikosei ni meya kwenye mji alikozaliwa).

Hilo ni swala la muda tu kujua. Tuombe uzima na afya
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mnyepe kwani kitakachopigana ni hizo dollars au ni mtu mbili ulingoni?style hiyo ni ya kizamani anaweza hata akafanya mtoto wa nyoka mwenye makengeza (Chenge) akapiga pic na hela za baba'ake akaiweka insta na watu wakapagawa ila huyo Mayweather atapigwa vizuri na atatulia labda unishawishi kwamba hizo hela zake atazitumia kupunguza stress na warembo wakati huo Manny Pacquiao akiwa kwao Filipino akiwaza kugombea urais(kwa sasa kama sikosei ni meya kwenye mji alikozaliwa).

Hahahaaha akili za mwafrika hela zao ni anasa tu halafu wanafanya kufuru mpaka wanaingizwa mtego wa wanawake halafu pesa zote wanakula mawakili wa kizungu kutetea huku hela zinakatika.
Umeongea neno kubwa sana hapo tumewaona wengi wameporomoka na huyu Floyd atapigwa na hasira atazimalizia uzinzi tu na coke
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mnyepe kwani kitakachopigana ni hizo dollars au ni mtu mbili ulingoni?style hiyo ni ya kizamani anaweza hata akafanya mtoto wa nyoka mwenye makengeza (Chenge) akapiga pic na hela za baba'ake akaiweka insta na watu wakapagawa ila huyo Mayweather atapigwa vizuri na atatulia labda unishawishi kwamba hizo hela zake atazitumia kupunguza stress na warembo wakati huo Manny Pacquiao akiwa kwao Filipino akiwaza kugombea urais(kwa sasa kama sikosei ni meya kwenye mji alikozaliwa).

1429773371536.jpg
 
Last edited by a moderator:
Ticket zimeuzwa dakika chache tu na sasa zinauzwa tena mitandaoni kwa $141,000
 
Naona mamtu yanaongea tu humu, Pacq hana ubavu ya kumpiga Floyd miaka mia, HAKUNA! Hilo ni jiwe lingine, ngumi nzito, huyo siyo binadamu wa kawaida ni mnyama...mtu anayeweza kupigana alihali mkono wake umevunjika zaidi ya mara moja, na bado akasukuma makonde kwa mkono huohuo ni habara nyingine. Pacq angoje sanaaa, hana lolote zaidi ya kubwia madawa kuongeza nduvu, siku hiyo atachanika...mammae!
 
 
Last edited by a moderator:
nauliza suali kipindi kile cha miaka ya 1997 niliwahi kuona pambano la tyson vs evander holyfield na kama sikosei ndio ilikua uzito wa juu kuhusu huu mchezo wa ndondi jee na hili la leo ndio kama lile ?
2 miaka hii tulio nayo inamaana wakubwa wa huu mchezo ni hawa jamaa floyd na paquiao
huyu floyd miaka ya ndondi kuanzia miaka ya 1995 jee na yee alikua katika gem au kaja baada ya wakongwe kina tyson , holyfield ; lewis na wengineo wamesha staaf leo anajiona hakuna kama yee.
 
nauliza suali kipindi kile cha miaka ya 1997 niliwahi kuona pambano la tyson vs evander holyfield na kama sikosei ndio ilikua uzito wa juu kuhusu huu mchezo wa ndondi jee na hili la leo ndio kama lile ?
2 miaka hii tulio nayo inamaana wakubwa wa huu mchezo ni hawa jamaa floyd na paquiao
huyu floyd miaka ya ndondi kuanzia miaka ya 1995 jee na yee alikua katika gem au kaja baada ya wakongwe kina tyson , holyfield ; lewis na wengineo wamesha staaf leo anajiona hakuna kama yee.


Hawa kina Floyd uzito wao sio wajuu km ule Wa kina Tyson....
 
021215-BOXING-Mayweather-50-Cent-Pacquiao-LN-PI.vadapt.955.high.0.jpg



Rapper 50 Cent and boxer Floyd Mayweather have had their share of differences.
There were accusations of money owed and relationships estranged. Literacy test challenges issued. Fiddy even said Mayweather was dragging his feet to fight Manny Pacquiao because he was "scared to death."
But now that the Mayweather-Pacquiao fight has been confirmed for May 2, 50 Cent is throwing his support behind his frenemy. And this is not just chump change. The rapper told Power 105.1's the Breakfast Club that he'll probably bet $1.6 million on Mayweather to take the fight.
"He's gonna smoke 'im. ... it's gonna look like it was pumped up for no reason," 50 Cent said. "He focused right now."
The Mayweather-Pacquiao dialogue starts at around 40:25:
true

Mayweather looks to be a safe bet: The 38-year-old WBA and WBC welterweight champion opened as a 2 1/2-1 favorite when the fight was announced, though there's been a flurry of funds going toward Pacquiao since.


 

Similar Discussions

Back
Top Bottom