Floyd Mayweather asema "Nasimama na Israel"

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Feb 24, 2012
5,014
9,883
Baada ya mashambulizi makali ya kundi la wanamgambo wa Kipalestina la Hamas dhidi ya Israel, ambayo yamezua mshtuko katika eneo zima, bingwa wa ngumi wa kimataifa Floyd Mayweather ameonesha mshikamano wake na watu wa Israel. Bingwa huyo wa zamani, anayejulikana kwa jitihada zake za kutoa misaada, amepeleka uungwaji mkono wake kwa kiwango kipya kwa kutuma ndege yake binafsi, iitwayo "Air Mayweather," kwenda Mashariki ya Kati.

Ndege ya Mayweather itabeba si tu ujumbe wa umoja na uungwaji mkono bali pia shehena kubwa ya vifaa muhimu kwa wanajeshi wa Jeshi la Ulinzi la Israel. Vifaa hivyo ni pamoja na chakula na hata mavazi yanayostahimili risasi kusaidia katika operesheni zao katika muktadha wa mzozo unaondelea.

1697028592266.jpeg
 
Mzuka wanajamvi!

Bingwa wa Masumbwi kutoka Marekani Floyd Mayweather ameweka wazi kuiunga mkono taifa teule la Israel na kulilaani kundi la kigaidi Hamas kwa uvamizi wao na kusababisha vifo, majeruhi na utekaji wa wateule (wayahudi).
76368015-0-image-a-1_1696922012741.jpg


The 46 years old kailaani Hamas nakusema hili kundi lakisenge haliwakilishi wapalestina.

Katika post yake Instagram kaandika:

'I stand with Israel against the Hamas terrorists. Hamas do not represent the people of Palestine but are a terrorist group that are attacking innocent lives!
'This is not a time for politics. This is a time for safety first and foremost.

'God Bless America. God Bless Israel. God Bless Human Kind!'

Pia Mayweather katuma ndege iliyojaa na kusheheni misaada ya kutosha kwa wateule.

Misaada iyo ni msosi, helmet, madawa pamoja na bullet proof vest kwa jeshi teule tukufu la IDF.

Ameposti pia picha alipopatembelea Jerusalem jiji la Daudi.
76369477-12613639-image-m-3_1696924917562.jpg


Baraka tele zimmiminikie Floyd Mayweather.
 
Atizame tu kauli zake zisije watia hasira radical muslims kiasi kwamba akalimwa shaba siku za mbeleni...
 
A
Mzuka wanajamvi!

Bingwa wa Masumbwi kutoka Marekani Floyd Mayweather ameweka wazi kuiunga mkono taifa teule la Israel na kulilaani kundi la kigaidi Hamas kwa uvamizi wao na kusababisha vifo, majeruhi na utekaji wa wateule (wayahudi).
View attachment 2781651

The 46 years old kailaani Hamas nakusema hili kundi lakisenge haliwakilishi wapalestina.

Katika post yake Instagram kaandika:

'I stand with Israel against the Hamas terrorists. Hamas do not represent the people of Palestine but are a terrorist group that are attacking innocent lives!
'This is not a time for politics. This is a time for safety first and foremost.

'God Bless America. God Bless Israel. God Bless Human Kind!'

Pia Mayweather katuma ndege iliyojaa na kusheheni misaada ya kutosha kwa wateule.

Misaada iyo ni msosi, helmet, madawa pamoja na bullet proof vest kwa jeshi teule tukufu la IDF.

Ameposti pia picha alipopatembelea Jerusalem jiji la Daudi.View attachment 2781649

Baraka tele zimmiminikie Floyd Mayweather.
And me also😁😁
 
Back
Top Bottom