Flora mvungi arudisha pete ya uchumba

Unauliza swali watu wenyewe hatuwajuwi. Kwani namba zao za simu hauna au wanapokaa haupajuwi? Naona ungewapigia simu Global Publishers kwani wao ndo wanapenda kujuwa maisha ya watu, wana waandishi wao kwa ajili kupita uchochoroni kutafuta habari za kulazimisha.
 
Jamani kuna tetesi zimezagaa kuwa flora mvungi baada ya kuvishwa pete ya uchumba kaivua na kumrudishia h.baba kwa madai kuwa ameona hafai kuwa mme mwema..mwenye habari zaidi atujuzeView attachment 69383

Hatupendi mambo ya umbeya hapa. Isitoshe haya ni mambo yao binafsi. Sisi yanatuhusu kivipi? Usishushe heshima ya JF. Kama huna mada, soma michango ya mwanakijiji.

 
hata simjui huyo frola mvungi mnayemzunguzia...but huyo mkata mauno hbaba namjua kwasababu kuna mshkaji wangu anampenda sana anatam,ani akamvishe pete kwa jinsi anavyozungusha mauno kuwashinda hata dada zake
 
hata simjui huyo frola mvungi mnayemzunguzia...but huyo mkata mauno hbaba namjua kwasababu kuna mshkaji wangu anampenda sana anatam,ani akamvishe pete kwa jinsi anavyozungusha mauno kuwashinda hata dada zake

duh huyuo jamaa bahasher nn?
 
Back
Top Bottom