Mwana va Mutwa
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 460
- 55
Mkuu, mbona huyu ni "kada" wa ccm; na wasee wa ccm wamemtunuku ubunge wa viti maalum ili wasee (EL) waendelee kufaidi ?
hivi nae ni mbunge siiku hizi?maana sikumbuki kusikia jina lake miongoni mwa majina ya wabunge wa viti maalum wa ccm,alipitia kundi gani?