Flirting. . .

Flirting. . .

If you have a partner, don't flirt with other people. If you do it secretly, then you are cheating (or on your way to). If you do it in front of him, then you have no respect for your relation.

To me, being in a relation means (among other things) that you promise to overcome all the temptations that will come along the way and focus on him. You can't manage the way the tempations come, but you can manage the way you respond to them.

Sasa ukishaanza ku-flirt inaonekana you are not even trying to overcome your interest for another person, you are actually entertaining that interest, knowing that it could become a temptation later. This is bad!
This post has done the thread justice
 
Kaizer Embu unikome. . .unataka uflirt na mimi kwani mie mkeo?!
Hivi AshaDii hamtoshi mpaka anamtaka Mwanamke kamili? watu kama hawa ni rahisi kushushwa mshipa. hapa nazidi kupata moyo kwamba Mwanamke kamili hana longolongo.
 
Last edited by a moderator:
Hivi AshaDii hamtoshi mpaka anamtaka Mwanamke kamili? watu kama hawa ni rahisi kushushwa mshipa. hapa nazidi kupata moyo kwamba Mwanamke kamili hana longolongo.
Matola...habari ya siku bana....naona umeanza mdogo mdogo....
 
Last edited by a moderator:
If you have a partner, don't flirt with other people. If you do it secretly, then you are cheating (or on your way to). If you do it in front of him, then you have no respect for your relation.

To me, being in a relation means (among other things) that you promise to overcome all the temptations that will come along the way and focus on him. You can't manage the way the tempations come, but you can manage the way you respond to them.

Sasa ukishaanza ku-flirt inaonekana you are not even trying to overcome your interest for another person, you are actually entertaining that interest, knowing that it could become a temptation later. This is bad!
hivi relatiosship/marriage ni serious kiasi hiki? sijui.......................
kwa upande wangu, kuwa kwenye relation/marriage siyo kwamba ndo unaacha kila kitu na kuangalia jinsi ya kuulinda uhusiano tu. ndo maana mahusiano mengi yanakufa.
binafsi sioni ubaya wa ku-flirt, ubaya unakuja unaposhindwa kujizuia kwenda extra mile. sioni tatizo nikimwita rafiki yangu The Boss baby, sweetie..... au nikimwambia "I love u"
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom