Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay akiruka sarakasi kwa furaha baada ya kukabidhiwa gari kwa ajili ya kupambana na ujangili na Waziri wa Maliasili na Utalii, Dk Hamisi Kigangwalla.
Waziri ametoa magari hayo kwa Halmashauri sita nchini kukabiliana na ujangili
Chanzo: Mwananchi
Waziri ametoa magari hayo kwa Halmashauri sita nchini kukabiliana na ujangili
Chanzo: Mwananchi