Wananchi wanachukuliaje kitendo cha mb wa Mbulu vijijini,kuruka sarakasi baada ya kukabidhiwa gari na waziri wa Mali asili na utalii kwa ajili ya kupambana na majangiliView attachment 776221
Huwa nasikia siasa za sarakasi sijui ndo hizi
Unafikiri kuna kipi zaidi ya kumpigia ‘Parapanda’?
Huyo jamaa yupo fiti sana wa kuuNi mchezo wake tangia miaka ya 90.anachuo chake chakufundisha sarakasi na karate judo na kung'fu
Si mchezo kweli kweli!!Maana yake si mchezo aisee!
Asisahau na msamba kabisa
Yule wa push ups hewa afanye hivyo Jangwani wakati wa uzinduzi wa kampeni zijazo kama tezi dume hatujaiokotea Ununio.
Hawa ndo wabunge wetu,amejifunza kwa baba mpigapush upWananchi wanachukuliaje kitendo cha mb wa Mbulu vijijini,kuruka sarakasi baada ya kukabidhiwa gari na waziri wa Mali asili na utalii kwa ajili ya kupambana na majangiliView attachment 776221
Mazoezi tu Sina muda sana.....ila kwa wananijua wanatambua sarakasi nlizo kuwa naruka.......sahv Naweza style mbili tu kavu na kisamaki......tuKwa hivyo umezeeka mkuu
Dah......Wananchi wanachukuliaje kitendo cha mb wa Mbulu vijijini,kuruka sarakasi baada ya kukabidhiwa gari na waziri wa Mali asili na utalii kwa ajili ya kupambana na majangiliView attachment 776221