donlucchese
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 17,046
- 21,518
Shufwa haina umri mkuu mi mwenyewe sometimes hua nashtua kimtndoHapo angepiga kichwa chini tungewajibika kumpeleka India,anajifanya kuruka shufwa wakati umri unaenda
Shufwa haina umri mkuu mi mwenyewe sometimes hua nashtua kimtndoHapo angepiga kichwa chini tungewajibika kumpeleka India,anajifanya kuruka shufwa wakati umri unaenda
Naona iko sawa kabisahicho ndo kipaji chake,kakionesha ubaya uko wap?
Mkuu landcruised mpya hiyo upewe udengue,usawa huu.baada ya kupewa gari. Wakati awamu ile kulikua na magari yanakataliwa na wakuu wa mikoa eti ni machakavu wakati yametumika miezi kadhaa tu hahah maisha yanabadilika
Baada ya miaka takriban minne, leo tena tarehe 23/05/2022 karudia tena kuonesha umahili wake katika kucheza sarakasi.Huwa nasikia siasa za sarakasi sijui ndo hizi