Flatei Massay Mbunge wa Mbulu Vijijini aruka sarakasi kwa furaha baada ya kukabidhiwa gari na Waziri

Mbunge wa Mbulu Vijijini , Flatei Massay akiruka sarakasi baada ya kukabidhiwa Landcruiser sita kwa ajili ya kupambana na Uhalifu- ujangili.
 

Attachments

  • 6E9FC6E7-8160-4C4F-9C85-83C666820EF5.png
    6E9FC6E7-8160-4C4F-9C85-83C666820EF5.png
    155.9 KB · Views: 38
  • 1EA4DE2E-5EA2-4339-9518-3C7AF6BCA4A8.png
    1EA4DE2E-5EA2-4339-9518-3C7AF6BCA4A8.png
    147.1 KB · Views: 37
  • 66C17CFD-564C-462B-B8DD-F46A99F09A3A.png
    66C17CFD-564C-462B-B8DD-F46A99F09A3A.png
    135 KB · Views: 36
  • B367258F-E753-401C-82DB-4F15BCC240ED.png
    B367258F-E753-401C-82DB-4F15BCC240ED.png
    137.6 KB · Views: 38
Inaweza kuwa ni picha bora kwa mwaka huu, ongera kwa mpiga picha aliyepiga picha hii.

(Pichani Mbunge wa Mbulu Vijijini, Flatei Massay akiruka sarakasi alipokuwa akifurahia kukabidhiwa gari na waziri Maliasili na Utalii Dk Hamis Kigwangalla kwa ajili ya kupambana na vita dhidi ya ujangili)

Screenshot_2018-05-14-20-16-20-1-1.jpg
 
baada ya kupewa gari. Wakati awamu ile kulikua na magari yanakataliwa na wakuu wa mikoa eti ni machakavu wakati yametumika miezi kadhaa tu hahah maisha yanabadilika
 
baada ya kupewa gari. Wakati awamu ile kulikua na magari yanakataliwa na wakuu wa mikoa eti ni machakavu wakati yametumika miezi kadhaa tu hahah maisha yanabadilika
Mkuu landcruised mpya hiyo upewe udengue,usawa huu.

Anajua kwanini kafurahi namna hiyo.
 
Kuna video zipo whatsapp ameruka hizo sarakasi mara 3 kama kijana wa miaka 18.
 
Back
Top Bottom