Chagga King
JF-Expert Member
- Jul 6, 2011
- 1,930
- 1,172
Ha ha ha usisahau kabla ya kwenda kidedi lazima tupoze pale kwa Aswile. Then lazima turipoti kwakina Jack Ko....wa pale tuoshe maana kulikuwa watoto warembo hataree. Then kidedi kupiga ganja afu Chiluba kupiga gongo. Dah idumu kantalamba.Daaa umesahau chiluba na mazwi kupiga gongo,kidedi kuvutia ganja miksa chanji kwenda kuchi pilau j pili night
Mlikuwa hamna tofauti na boko haram3. Kuiba kuku na Sungura wa mapadri kwakuwa ilikuwa seminari. Na kuwatengeneza supu usiku wa manane.
Umenikumbusha mkuu, tranka likigoma mnalitikisa ili wali uchanganyike na madaftari na nguoKuibia watu kwenye maloka kwa kutekenyesha funguo..au kwenye matrank ya chuma yale...mengine yalikuwa mepes bas tunayapiga butterfly..heheheee....kufua ilkuwa tatzo bas n kuanuliana mashat tu
Hii pale tanga tech ilikuwa common sanaKujificha darini siku ya ukaguzi wa usafi
Ahahaha jamaa nahis jamaa baadae fungus walimzoea....Ulikuwa comb IPI mkuu PCB,EGM ama PCM?We pugu boy tumesoma wote... Umenikumbusha mbali sana issue ya mwisho wa lami kuopewa mikate.. Kudrop na kuto kuoga pamoja na kuwashwa....tulisoma wote aisee... Kuna jamaa alihamia pale Pugu akawa anaoga kila siku akapata fungus za kwenye nundu za kukalia.. Akatibiwa. Alipopona akaacha kuoga.. Alikuwa anakwenda kuoga weekend akidrop kwao..
PcmAhahaha jamaa nahis jamaa baadae fungus walimzoea....Ulikuwa comb IPI mkuu PCB,EGM ama PCM?
Bila kusahau vyoo vya Pugu vilivyokuwa vikiitwa battle kutokana NA kwamba ukienda kujisaidia kubwa lazima uvue sharti kama unaenda pigana.Nilikua pugu ujamaa 5 PCM miaka 90,umekumbusha mbali sana mambo ya pond, kudrop na mwisho wa lami, bus letu lilikua uda la kwenda kisarawe, tulikua tunapandia msimbazi
Hao waliokuwa wanafanya hivyo sasa hivi wako wapi? Wengi utakuta wameharibikiwaNilisoma shule moja hivi O Level yangu..
Form four ndo walikuwa vinara wa kuwaburuza Na kuwatesa form one.
Hii siku sitakuja kuhisahau kamwe, majamaa yakaingia bwenini kwetu, hapo niko form one.... Mmoja akakaa mlangono, yaani hakuna hata form one mmoja alitakiwa atoroke.
Wengine wakaanza kupita kila kitanda kutuvutisha bangi, basi kila mtu alikuwa anapiga pafu mbili au tatu.
Form four mmoja akamkata mmoja wa form one, akamuuliza kichwa cha ub.oo wako na wangi kipi kikubwa.... Form one akijibu cha kwangu...
Daah, lile jamaa likamchukua yule form one akaenda naye chamba, akatoa mashine yake akaipaka mafuta, kisha akamwambia yule form one aanze kuisugua, yaani kumpigisha puny.eto..
Jamaa alisugua hadi yule form four kapiga bao...
Aisee....naomba niishie hapa, maana yako manyanyaso mengi sana, na nikikumbuka machozi yananitoka...
Kama nakuona ulivyokua unakatiza mitaa ya "Kibini"!
Poa mkuu mm nilikuwa PCB ...Mwisho wa Lami shule nzima alikuwa anafahamika,
Poa kakaPoa mkuu mm nilikuwa PCB ...Mwisho wa Lami shule nzima alikuwa anafahamika,
Dah... tulikuwa tunafanya majaribio ya Molotov cocktail hatukujua hata madhara yake itakavyokuwa ndiyo maana tukajaribu kwenye magari ya jeshi 🙂Nyie ni makomando aisee..au unatupa scenes za komando kipensi?
Vipi, hukuwahi kumtafuta chemba mshindi wa shindano ili upate practical experience on how it feels zinavuoruka mbali!!!wavulana walikuwa na mashindano ya kupiga punyeto kuona nani sperm zitaruka mbali eti