Hahaahah kumbuka kuna kinga yakeJiwe should face charges even posthumously
Hahaahah kumbuka kuna kinga yakeJiwe should face charges even posthumously
We're in accord!You can use someone’s weaknesses to achieve what you want to achieve.
That way it looks more natural rather than sinister...
Hii google translate imetafsiri vice versa kabisa naonaFor Swahili Audience
Mimi sio mkubwa juu ya nadharia za njama. Lakini kwa kukosekana kwa habari ya ukweli, ni nini cha kufanya? Kukaa tu bila kazi na subiri ifikishwe mlangoni pako? Nah! Sio kwa mtu anayefikiria. Ninafurahiya kuangaza juu ya vitu.
Ninajishughulisha na kila kitu, kuhakikisha kuwa ninashughulikia besi nyingi iwezekanavyo. Kwa hivyo, na hayo yakisemwa, nina swali. Kuna uwezekano gani kwamba yeye 'amerekebishwa? Ikiwa ningehatarisha nadhani ningesema kwamba ameunganisha manyoya mengi ndani ya mfumo na ilikuwa tu suala la muda kabla ya kumshika .... Mimi ni sayin tu. Mimi sio sayin '. Lakini unajua ninachosema '.
Very trueKwa mtu aliekuwa na 'self destruction ' behaviour kama ubishi na kiburi..tutawasingizia wasiohusika
Only ameji fix mwenyewe
HatokeiiiiiWatu wa jamii forum kwa ujuaji.. kesho wakimuona watakuja tena na uchambuzi hapa vingereza kibao ilimradi ndio burudani yao kumwaga povu.
You will be disappointed. Just watch!Hatokeiiiii
Mhuuuu?Mimi tangu kile kifo cha Maalim Seif niliweka tahadhari kama hiyo. Nilisema inawezekana ''mfumo'' ukaona hii ni fursa nzuri ya kuondoa usumbufu uliokuwa unatuhangaisha kila kipindi cha uchaguzi. Unajua covid inaweza kuwa silaha mbaya sana ya kuondoa mtu kama humtaki. Kuwe na condition moja tu. Mlengwa awe kwenye risk group. Silaha hii unaweza kupita nayo kwenye security check point yoyote bila mtu kukugundua. 1. Unaweza kumtumia kijana ambaye ana afya nzuri akajiambukiza makusudi na akatumika kuipeleka popote. 2. Unaweza kuibeba kwenye kwenye leso au kitu kingine chochote unachotaka kubeba, hata kwa kutumia nguo zako kwenda kwenye target!
Duh...Sisemi kwamba hicho ndicho kilichotokoea, ila naweza kusema wewe na wengine wachache mmenielewa...
He downplayed the pandemic consistently, thereby making the citizens less concerned and unprepared for the crisis they now haveJiwe should face charges even posthumously
Nimeisoma hilo andiko la Kingereza na hili la kiswahili ila sijaelewa kilichoandikwa, kwa kifupi nimetoka kapaFor Swahili Audience 😅
Mimi sio mkubwa juu ya nadharia za njama. Lakini kwa kukosekana kwa habari ya ukweli, ni nini cha kufanya? Kukaa tu bila kazi na subiri ifikishwe mlangoni pako? Nah! Sio kwa mtu anayefikiria. Ninafurahiya kuangaza juu ya vitu.
Ninajishughulisha na kila kitu, kuhakikisha kuwa ninashughulikia besi nyingi iwezekanavyo. Kwa hivyo, na hayo yakisemwa, nina swali. Kuna uwezekano gani kwamba yeye 'amerekebishwa? Ikiwa ningehatarisha nadhani ningesema kwamba ameunganisha manyoya mengi ndani ya mfumo na ilikuwa tu suala la muda kabla ya kumshika .... Mimi ni sayin tu. Mimi sio sayin '. Lakini unajua ninachosema '.
Inteliigencia ya kukamata kina Lema na sugu na kupambana na Chadema? Halafu hiyo inteligensia ipo kwa maslahi ya nchi au kwa maslahi ya tabaka tawala? Kama ni kwa maslahi ya nchi basi ujue fixing anayosema mtoa mada ipo sahihi . Ila Kama ni kuwa maslahi ya wahuni wachache basi upo sahihi, magu asingeguswa.One funny thing about stupid slave like you is their prejudicial belief about their supposedly superior mental capacity.
You are one hell of a silly being.
Tanzania's state security organs are the best in Africa and one among the best in the world.
1. Go learn, how many coup and assassination attempts Nyerere survived.
2. Go learn, how many covert operations were successfully carried out by state security organs on foreign territories throughout the cold war.
3. Go learn, how many regime changes were cleverly orchestrated and successfully maneuvered by Tanzanian state security organs in neighboring states and beyond.
Only a silly slave, mbeba box kwa Trump kama wewe mbulula ndio anaweza waza ujinga.
Hii nchi imekubuhu kwenye medani ya inteligensia na vita - Boya.
Sijui umewaza ninishukrani mkuu kwa kutufafanulia, sasa i know wala imseing.
Kabisa yaani bila hiyo utapata kizungu zunguuuNyani Ngabu na Kiranga wakiandika kiingereza inabidi uwe na dikshonari pembeni.
Huh!?For Swahili Audience
Mimi sio mkubwa juu ya nadharia za njama. Lakini kwa kukosekana kwa habari ya ukweli, ni nini cha kufanya? Kukaa tu bila kazi na subiri ifikishwe mlangoni pako? Nah! Sio kwa mtu anayefikiria. Ninafurahiya kuangaza juu ya vitu.
Ninajishughulisha na kila kitu, kuhakikisha kuwa ninashughulikia besi nyingi iwezekanavyo. Kwa hivyo, na hayo yakisemwa, nina swali. Kuna uwezekano gani kwamba yeye 'amerekebishwa? Ikiwa ningehatarisha nadhani ningesema kwamba ameunganisha manyoya mengi ndani ya mfumo na ilikuwa tu suala la muda kabla ya kumshika .... Mimi ni sayin tu. Mimi sio sayin '. Lakini unajua ninachosema '.

Hata I love you hujui!!!??Mi kiinglish bila Vant huwa najua neno hili tuu.
May Be!!![]()



Kusoma ni kufanya nini!?Watu mkiambiwa someni hamtaki, oneni sasa mnashindwa kujua jamaa kamaanisha nini.
Smh
Jamani komentini basi hata wengine tupate idea ya kinachozungumzwa.
Sio ku-comment 'kweli kabisa' alafu nukta, mtaacha watu njia panda

