‘Fixed’?

‘Fixed’?

For Swahili Audience

Mimi sio mkubwa juu ya nadharia za njama. Lakini kwa kukosekana kwa habari ya ukweli, ni nini cha kufanya? Kukaa tu bila kazi na subiri ifikishwe mlangoni pako? Nah! Sio kwa mtu anayefikiria. Ninafurahiya kuangaza juu ya vitu.

Ninajishughulisha na kila kitu, kuhakikisha kuwa ninashughulikia besi nyingi iwezekanavyo. Kwa hivyo, na hayo yakisemwa, nina swali. Kuna uwezekano gani kwamba yeye 'amerekebishwa? Ikiwa ningehatarisha nadhani ningesema kwamba ameunganisha manyoya mengi ndani ya mfumo na ilikuwa tu suala la muda kabla ya kumshika .... Mimi ni sayin tu. Mimi sio sayin '. Lakini unajua ninachosema '.
Hii google translate imetafsiri vice versa kabisa naona
 
Mimi tangu kile kifo cha Maalim Seif niliweka tahadhari kama hiyo. Nilisema inawezekana ''mfumo'' ukaona hii ni fursa nzuri ya kuondoa usumbufu uliokuwa unatuhangaisha kila kipindi cha uchaguzi. Unajua covid inaweza kuwa silaha mbaya sana ya kuondoa mtu kama humtaki. Kuwe na condition moja tu. Mlengwa awe kwenye risk group. Silaha hii unaweza kupita nayo kwenye security check point yoyote bila mtu kukugundua. 1. Unaweza kumtumia kijana ambaye ana afya nzuri akajiambukiza makusudi na akatumika kuipeleka popote. 2. Unaweza kuibeba kwenye kwenye leso au kitu kingine chochote unachotaka kubeba, hata kwa kutumia nguo zako kwenda kwenye target!
Mhuuuu?
Kama ni kweli mkulu anaumwa it is high time wale wanahusika na usalama wake wawajibishwe.

The conspiracy theory as narrated by Nyani sounds valid!

Looks Nyani is big at this! though he wants us to believe the opposite.
 
For Swahili Audience 😅

Mimi sio mkubwa juu ya nadharia za njama. Lakini kwa kukosekana kwa habari ya ukweli, ni nini cha kufanya? Kukaa tu bila kazi na subiri ifikishwe mlangoni pako? Nah! Sio kwa mtu anayefikiria. Ninafurahiya kuangaza juu ya vitu.

Ninajishughulisha na kila kitu, kuhakikisha kuwa ninashughulikia besi nyingi iwezekanavyo. Kwa hivyo, na hayo yakisemwa, nina swali. Kuna uwezekano gani kwamba yeye 'amerekebishwa? Ikiwa ningehatarisha nadhani ningesema kwamba ameunganisha manyoya mengi ndani ya mfumo na ilikuwa tu suala la muda kabla ya kumshika .... Mimi ni sayin tu. Mimi sio sayin '. Lakini unajua ninachosema '.
Nimeisoma hilo andiko la Kingereza na hili la kiswahili ila sijaelewa kilichoandikwa, kwa kifupi nimetoka kapa
 
One funny thing about stupid slave like you is their prejudicial belief about their supposedly superior mental capacity.

You are one hell of a silly being.

Tanzania's state security organs are the best in Africa and one among the best in the world.

1. Go learn, how many coup and assassination attempts Nyerere survived.

2. Go learn, how many covert operations were successfully carried out by state security organs on foreign territories throughout the cold war.

3. Go learn, how many regime changes were cleverly orchestrated and successfully maneuvered by Tanzanian state security organs in neighboring states and beyond.

Only a silly slave, mbeba box kwa Trump kama wewe mbulula ndio anaweza waza ujinga.

Hii nchi imekubuhu kwenye medani ya inteligensia na vita - Boya.
Inteliigencia ya kukamata kina Lema na sugu na kupambana na Chadema? Halafu hiyo inteligensia ipo kwa maslahi ya nchi au kwa maslahi ya tabaka tawala? Kama ni kwa maslahi ya nchi basi ujue fixing anayosema mtoa mada ipo sahihi . Ila Kama ni kuwa maslahi ya wahuni wachache basi upo sahihi, magu asingeguswa.
Kama Inteliigencia ipo makini kwa Nini Mzee Mangula alilishwa sumu mbele ya rais Magufuli na Inteliigencia ilishindwa kujua?
 
For Swahili Audience

Mimi sio mkubwa juu ya nadharia za njama. Lakini kwa kukosekana kwa habari ya ukweli, ni nini cha kufanya? Kukaa tu bila kazi na subiri ifikishwe mlangoni pako? Nah! Sio kwa mtu anayefikiria. Ninafurahiya kuangaza juu ya vitu.

Ninajishughulisha na kila kitu, kuhakikisha kuwa ninashughulikia besi nyingi iwezekanavyo. Kwa hivyo, na hayo yakisemwa, nina swali. Kuna uwezekano gani kwamba yeye 'amerekebishwa? Ikiwa ningehatarisha nadhani ningesema kwamba ameunganisha manyoya mengi ndani ya mfumo na ilikuwa tu suala la muda kabla ya kumshika .... Mimi ni sayin tu. Mimi sio sayin '. Lakini unajua ninachosema '.
Huh!?
 
Msiumize vichwa saana...
Kichwa cha habari ni kwamba "Yuko wapi na kwanini?"
 
Back
Top Bottom