‘Fixed’?

‘Fixed’?

Natamani siku moja Mods wakutanishe hii miamba miwili kwenye malumbano ya lugha.

Nyani Ngabu na Kiranga mna battle yenu itabidi muifanye. Nani ni nani kwenye kunyambulika na English
Nyani Ngabu tukikutana tutaongea Kisukuma nipate kujinoa lugha yangu, sijapata mtu wa kuongea naye Kisukuma siku nyingi sana.
 
Kwani kujua lugha laz
Elimu siku hizi ni ghali; kuna wengi, including Rais Magufuli na Kikwete, tulisoma bure tangu darasa la kwanza hadi kupat a digrii ya kwanza Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Hali imebadilika sana siku hizi, kwa hiyo watu wengi kutosma ni kutokana na uwezo wa kipesa
Kwani kujua lugha lazima uwe msomi? niachojua mimi lugha haihitaji usiomi bali ni ama umezaliwa nayo ama unakoishi kama ni usukumani inabidi uongee kisukuma kwa kuongea na wenyeji,ukienda Rungwe au Kyela kutokana na mazingira lazima utajua Kinyakyusa si kwa kwenda darasani bali kwa kusikia na kuongea na wenye lugha, kutunanga Watanzania kuwa tukasome wakati hata huko kwa wenye lugha wenyewe wapo wengi tu hawajui Kiingereza pamoja na kuwa Waingereza,sawa na hapa Watanzania sio wote wanajua Kiswahili
 
I do not think he was fixed at all, signs were in plain sight since last year when he started moving around with the air cooler. During the campaign he wasn't as active as he was the previous election by taking extended resting periods after every few days on the campaign trail.

Even if the state machinery was going to work to ensure his landslide victory still he was well below his usual self on the road. The govt must come out and say what is troubling our dear no 1 citizen to kill all the rumours. Mkapa, Kikwete they got sick during their presidencies and the public was told about the situation. God bless Tanzania
You can be 'fixed' and die after 5 yrs.

Slow death.
 
Kwani kujua lugha laz

Kwani kujua lugha lazima uwe msomi? niachojua mimi lugha haihitaji usiomi bali ni ama umezaliwa nayo ama unakoishi kama ni usukumani inabidi uongee kisukuma kwa kuongea na wenyeji,ukienda Rungwe au Kyela kutokana na mazingira lazima utajua Kinyakyusa si kwa kwenda darasani bali kwa kusikia na kuongea na wenye lugha, kutunanga Watanzania kuwa tukasome wakati hata huko kwa wenye lugha wenyewe wapo wengi tu hawajui Kiingereza pamoja na kuwa Waingereza,sawa na hapa Watanzania sio wote wanajua Kiswahili
Usijidanganye; unaweza kujua kuongea kiingereza kwa kuishi katika mazingira ya watu wanoongea kiingereza tu, lakini huwezi kujua kusoma maandishi ya kiingereza bila kwenda shule. Hao unaowasema huenda walikuwa wanaishi na wazungu kwa hiyo wakajua kuongea, lakini hawezi kusoma. Mada iliyokuwapo hapao ni kwa watu kushindwa lusoma post ya Nyani kwa vile imeandikwa kiingereza, mpaka alipojitokze mtu mwingine kuitafsiri
 
One funny thing about stupid slave like you is their prejudicial belief about their supposedly superior mental capacity.

You are one hell of a silly being.

Tanzania's state security organs are the best in Africa and one among the best in the world.

1. Go learn, how many coup and assassination attempts Nyerere survived.

2. Go learn, how many covert operations were successfully carried out by state security organs on foreign territories throughout the cold war.

3. Go learn, how many regime changes were cleverly orchestrated and successfully maneuvered by Tanzanian state security organs in neighboring states and beyond.

Only a silly slave, mbeba box kwa Trump kama wewe mbulula ndio anaweza waza ujinga.

Hii nchi imekubuhu kwenye medani ya inteligensia na vita - Boya.
Points zako zipo too surporting rather than denying.

Your post is more of Ironic
 
One funny thing about stupid slave like you is their prejudicial belief about their supposedly superior mental capacity.

You are one hell of a silly being.

Tanzania's state security organs are the best in Africa and one among the best in the world.

1. Go learn, how many coup and assassination attempts Nyerere survived.

2. Go learn, how many covert operations were successfully carried out by state security organs on foreign territories throughout the cold war.

3. Go learn, how many regime changes were cleverly orchestrated and successfully maneuvered by Tanzanian state security organs in neighboring states and beyond.

Only a silly slave, mbeba box kwa Trump kama wewe mbulula ndio anaweza waza ujinga.

Hii nchi imekubuhu kwenye medani ya inteligensia na vita - Boya.
What happened in the Election? Can you prove the competence of your System against the rule of People?? Itz only ignorant people can believe what written here by you comedian !!!
 
I’m not big on conspiracy theories.

But in the absence of veracious information, what’s one to do?

Just sit idly by and wait for it to be delivered to your doorstep?

Nah! Not for a thinking man.

I enjoy ruminating on things. I raticionate on just about anything, to make sure that I cover as much bases as possible.

So, with that being said, I have a question.

How likely is it that he’s [you know who] been ‘fixed’?

If I were to hazard a guess I’d say because he has ruffled a lot feathers within the system and along the way, and with the pandemic serving as a perfect and an expedient backdrop, it was just a matter of time before they caught up to him....and did what they had to do.

How does that sound? Too far-fetched?

I’m just sayin’. I’m not sayin’. But you know what I’m sayin’.

✌️
Ummph same hunch here !!
 
Back
Top Bottom