‘Fixed’?

‘Fixed’?

Maccm yamepanga mkakati wa kuilamu tena Chadema kwamba imempa sumu jiwe 😂😂😂😂 unakumbuka kauli ya “Wapinzani wanatuchelewesha” hili la COVID kufanya yake wanataka kulikwepa kwa kila namna “Jiwe hajawahi kupata COVID” 🤣🤣🤣🤣🤣
Hmm

Hapana. Chadema tena?

I’m talking about something intramural....possibly.
 
Nyuma ya sababu ya ku ‘Fix’ ni nini hasa ni moja ya haya labda

Je, ni hulka tu ya binaadamu kuumiza wenzi wake kutokana na wivu wa kibinaadam

Je, muhusika labda kaumiza jamii yake na kwa kiwango gani na uwingi gani kwa waathirika?

Je, uumizaji ulikuwa wa nia nzuri kwa hao wachache ili wengi wapone au ni wa kukomoa tu au uumizaji umekuwa ni wa wengi na waambata wameiona hatuna sababu ya kuumia/ kuumizwa

Je, ni tamaa na wivu ya baadhi ya inner circle kuutaka ukuu maana unakuja na uruwa mwingi

Mwelekeo wa mbele kama jumuiya kwa dereva ulikuwa unaleta matumaini au hofu kwa jamii nzima

Wenye maamuzi wengine walikuwa na mtizamo mmoja na Boss au waliona ni hatarishi kwa uruwa wao na vizazi vyao kwa falme walizozijenga

Je dereva alikuwa anashirikisha wenzi wake kwa maslahi ya wote au ni ka kikundi ka wachache na kwa maslahi yao tu hao wachache

Je mifumo yetu ya zamani kabla ya dereva huyu ilikuwa inatufikisha mwisho wa safari salama au ni kuishia kwenye korongo na dereva mpya kapiga u turn kwa kuona tungeenda siyo sehemu tarajiwa, na labda wengine hawapo tayari kwa mgeuko huo ndo ikaaanza fitina

Je ni hofu ya kesho yetu na majaliwa yake na pengine ilitakiwa tuumie leo ili kesho tupone kama jamii na ustawi wake na hata kama sio sisi wafaidika labda ni kizazi kijacho au ni hofu ya mabadiliko kutokana kutaka ya leo leo tu ( African way of thinking) na tamaduni zetu nzuri au hasi

Kuna mengi ya kujiuliza sababu ni ipi ya ku ‘fix’
 
For Swahili Audience

Mimi sio mkubwa juu ya nadharia za njama. Lakini kwa kukosekana kwa habari ya ukweli, ni nini cha kufanya? Kukaa tu bila kazi na subiri ifikishwe mlangoni pako? Nah! Sio kwa mtu anayefikiria. Ninafurahiya kuangaza juu ya vitu.

Ninajishughulisha na kila kitu, kuhakikisha kuwa ninashughulikia besi nyingi iwezekanavyo. Kwa hivyo, na hayo yakisemwa, nina swali. Kuna uwezekano gani kwamba yeye 'amerekebishwa? Ikiwa ningehatarisha nadhani ningesema kwamba ameunganisha manyoya mengi ndani ya mfumo na ilikuwa tu suala la muda kabla ya kumshika .... Mimi ni sayin tu. Mimi sio sayin '. Lakini unajua ninachosema '.
Hii tafsiri kuna maeneo umechanganya.

Tazama vizuri uwese kupata tafsiri nzuri kwa namna alivyolitumia neno ruffled.

Tafsiri yake sahihi ningesema, 'Ameharibu/amesasambua manyoya mengi ndani ya mfumo, ilikuwa ni suala la wakatitu'
 
I’m not big on conspiracy theories.

But in the absence of veracious information, what’s one to do?

Just sit idly by and wait for it to be delivered to your doorstep?

Nah! Not for a thinking man.

I enjoy ruminating on things. I raticionate on just about anything, to make sure that I cover as much bases as possible.

So, with that being said, I have a question.

How likely is that that he’s been ‘fixed’?

If I were to hazard a guess I’d say that he’s ruffled a lot feathers within the system and it was just a matter of time before they caught up to him....

I’m just sayin’. I’m not sayin’. But you know what I’m sayin’.


This by itself would propel you to the top of the cadre of conspiracy theorists!
 
15 March 2021
Nairobi, Kenya

Tanzania Vice President speaks out speculations over President Magufuli's health and whereabouts


Let’s cross borders south, Tanzania's vice president Samia Suluhu Hassan has given the clearest indication yet that president John Pombe Magufuli might be unwell, following days of speculation over the president’s whereabouts. President Magufuli has not been seen in public for a few weeks now. Vice president Hassan has urged Tanzanians to ignore rumours doing rounds.
Source : KTN News Kenya

.................................................................

Makamu wa rais Tanzania azungumzia kwa mara ya kwanza swala la aliko Rais Magufuli

 
Back
Top Bottom