Fitina ya mwondoa Mzee Chizi ATCL

Fitina ya mwondoa Mzee Chizi ATCL

engmtolera

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
5,149
Reaction score
1,441
Haya wakuu

ktk magazeti ya leo,inaonekana kuenguliwa kwa mzee Chizi ni fitina ya baadhi ya wakuu baada ya Mh huyo wa ATCL kuminya mianya yote ya kula pesa iliyokuwa ikifanywa na baadhi ya wakuu hapa Tanzania.
baada ya Chizi kupewa Nafasi ya kukaimu Ukurugenzi ndani ya ATCL alizuia utengenezaji wa ndege nje ya nchi na kuanza kutumia wataalamu wa ndani ya tanzania jambo ambalo baadhi ya wakuu hawakupendezwa nalo kwani limesababisha kuwanyima ulaji wao,na pia Chizi alijitahidi kubadirisha bei za ndege ili ziwe sawa na bei za ndege nyingine na hii ilivutia wasafiri wengi kuweza kuitumia ATCL lakini wakuu wengi waliudhika kwani maslahi yao ktk ndege nyingine yalianza kupungua

na ndio maana hata wakati ile ndege mpya ilipokuwa ikipaa angani viongozi kutoka wizarani hawakuhudhuria ktk hafla hiyo na hii ni kuonyesha kuwa viongozi hao hawakuwa tayari kumuunga mkono mkurugenzi Chizi labda kwa yeye kuleta ndege mpya na hili limesababisha kupunguza maslahi yao binafsi

WAZIRI MWAKYEMBE labda atoe hizo taratibu ama kanuni zilizokiukwa ili watanzania wajue

chanzo clouds fm,kipindi cha asubuhi 7/6/2012 na akina PJ,walikuwa wakisoma habari ktk gazeti la majira
 
Mimi nilisikia eti waziri aliamua kumpa shavu ndugu yake, sijui ukweli wa hili. Ila kumuondoa kaimu haiingii akilini, mi nilidhani angetangaza kumteua mkurugenzi kamili na si kutengua uteuzi wa kaimu. Inaniongezea mashaka. Ndaga gwe kyala.
 
ni kweli kabisa kuwa katibu mkuu anahusika moja kwa moja na hujuma hizi za kutaka ndege hii isiruke ili yeye aendelee kunufaika na makampuni mengine ya anga ambayo hupokea vijisent kutoka kwao.chizi AMEFANYA KAZI KUBWA SANA. JANA NILITOA MADA HII KUONESHA NAMNA ANAVOHUSIKA NA HUJUMA HII HUYO KATIBUI MKUU.
 
ukweli uko wazi
precision air ndio wauwaji wakubwa wa air tanzania na viongozi wengi
wana hisa humo akiwemo mramba na wengineo wanajijua.
kwa mtu aliesikiliza mahjiano kati ya ITV na Chizi atagundua huyu mtu ni wa busara
na amejitahidi kadri awezavyo kuiokoa Tanzania. Katibu mkuu anapaswa kuondolewa mara moja
na pia Mwakyembe amekurupuka kumfukuza kazi Chizi kwani waziri aliemteuwa kushika wadhifa huo
alikuwa na mamlaka sawa na mwakyembe aliotumia kumteua kaptain.
watanzania ni wapenda kula badala ya kupenda uzalendo. hamsahngai wanatembelea mavx ya garama
huku wakiwaacha walipa kodi na wananchi maskini bila huduma za msingi
THIS COUNTRY NI ZAIDI UIJUAVO.
 
Haya wakuu

ktk magazeti ya leo,inaonekana kuenguliwa kwa mzee Chizi ni fitina ya baadhi ya wakuu baada ya Mh huyo wa ATCL kuminya mianya yote ya kula pesa iliyokuwa ikifanywa na baadhi ya wakuu hapa Tanzania.
baada ya Chizi kupewa Nafasi ya kukaimu Ukurugenzi ndani ya ATCL alizuia utengenezaji wa ndege nje ya nchi na kuanza kutumia wataalamu wa ndani ya tanzania jambo ambalo baadhi ya wakuu hawakupendezwa nalo kwani limesababisha kuwanyima ulaji wao,na pia Chizi alijitahidi kubadirisha bei za ndege ili ziwe sawa na bei za ndege nyingine na hii ilivutia wasafiri wengi kuweza kuitumia ATCL lakini wakuu wengi waliudhika kwani maslahi yao ktk ndege nyingine yalianza kupungua

na ndio maana hata wakati ile ndege mpya ilipokuwa ikipaa angani viongozi kutoka wizarani hawakuhudhuria ktk hafla hiyo na hii ni kuonyesha kuwa viongozi hao hawakuwa tayari kumuunga mkono mkurugenzi Chizi labda kwa yeye kuleta ndege mpya na hili limesababisha kupunguza maslahi yao binafsi

WAZIRI MWAKYEMBE labda atoe hizo taratibu ama kanuni zilizokiukwa ili watanzania wajue

chanzo clousds fm,kipindi cha asubuhi 7/6/2012 na akina PJ
kwani ile ni ndege ya ATCL!??

Mbona tunakuwa wagumu kuelewa mambo madogo hivi, yaani viongozi wa serikali/wizara wakusanyike kukata keki na kupokea ndege ya kukodisha!? Ni bora mara 100 kama wangenunua ndege ndogo (kama ile Nape aliyokodisha kwenda Bukoba) ya kwetu kuliko Boing 777-400 ya kukodisha (ya mafisadi).
 
ukweli uko wazi
precision air ndio wauwaji wakubwa wa air tanzania na viongozi wengi
wana hisa humo akiwemo mramba na wengineo wanajijua.
kwa mtu aliesikiliza mahjiano kati ya ITV na Chizi atagundua huyu mtu ni wa busara
na amejitahidi kadri awezavyo kuiokoa Tanzania. Katibu mkuu anapaswa kuondolewa mara moja
na pia Mwakyembe amekurupuka kumfukuza kazi Chizi kwani waziri aliemteuwa kushika wadhifa huo
alikuwa na mamlaka sawa na mwakyembe aliotumia kumteua kaptain.
watanzania ni wapenda kula badala ya kupenda uzalendo. hamsahngai wanatembelea mavx ya garama
huku wakiwaacha walipa kodi na wananchi maskini bila huduma za msingi
THIS COUNTRY NI ZAIDI UIJUAVO.

kaka hapo ndipo majibu ya AZIMIO LA ARUSHA Linapojibu maswali yetu

kama viongozi wasingeruhusiwa kuwa na hisa ama kufanya biashara mambo haya ya kiongozi kutumia fitina kumwondoa mkurugenzi yasingekuwepo,hapa kuna maslahi binafsi,watu wanaliuwa shirika letu ili wapate maslahi furani ktk kampeni walizowekeza

lakini nadhani katibu mkuu ni tatizo,je kamati za bunge mpo waaaaapi?
 
ukweli utajulikana soon na ikiwezekana mtashangaa mwakyembe anaachia Ngazi
kama tuhuma hizi zikithibitisha=wa.
 
ukweli utajulikana soon na ikiwezekana mtashangaa mwakyembe anaachia Ngazi
kama tuhuma hizi zikithibitisha=wa.

lokisa

umeyasikia hayoo?

yaani kwa jinsi alivyo ongea mwakyembe na wafanya kazi wake leo ATCL unaweza chukua panga na kumfuata chizi,maana kuna madudu ya kutisha,kumbe ndege tuliyokodi tumeanza kulipa wakati ikia ktk hanga na mpaka sasa kuna deni la kufa mtu tunadaiwa
 
... WE'RE A CURSED PEOPLE! Period. (Wageni karibuni mchukue nchi
 
ina maana hamna imani na mwakyembe wana if au majungu tu mnayo.
 
Mimi nilisikia eti waziri aliamua kumpa shavu ndugu yake, sijui ukweli wa hili. Ila kumuondoa kaimu haiingii akilini, mi nilidhani angetangaza kumteua mkurugenzi kamili na si kutengua uteuzi wa kaimu. Inaniongezea mashaka. Ndaga gwe kyala.

Ni rahisi kuanza kuwa na fikra za ukabila kwa kile alichokifanya mwakyembe. Mi nadhani kabla hatujahukumu kwa hilo hebu tujiulize maswali haya kwanza
1.kwenye orodha ya wale waliondolewa(akiwemo bwana chizi),hakuna mtu ambaye ni mnyakyusa?
2.Je kuna anayefahamu mchakato wa ajira/uteuzi wa bwana chizi kuwa ulifuata taratibu za ajira ama la?
Nawakilisha
 
ukweli utajulikana soon na ikiwezekana mtashangaa mwakyembe anaachia Ngazi
kama tuhuma hizi zikithibitisha=wa.

Ukweli tumeanza kuusikia! Uniform 17 kwa USD 50,000. Maofisa wawili nchini China kwa ajili ya kusimamia ushonaji kwa siku 45. Ama kweli kama hii ndio mwonekano wa busara alio nao Chizi na anatetewa basi tuna safari ndefu sana.
 
Back
Top Bottom