Tetesi: Fiston Mayele kawa Muislamu?

Tetesi: Fiston Mayele kawa Muislamu?

Dunia nzima!?.. waislam ni zaidi ya robo ya dunia,wapo kila nchi, UK wameshakua waziri mkuu, Scotland waziri 'mkuu',mamdani anatetemesha New York, biblia inasemaje kuhusu wahubiri wake kupigwa vita na wengi!?
Sawa kuwa waziri si hoja, wananchi hawawataki Waislam
 
Ukifanikiwa usabadili jina wala dini. Mayele anapotea muda mrefu kama Pogba, Kanté, Mzize, Young Killer, Christian Benteke, Danny Williams, Mesut Ozil nk
 
Ataangaika awezavyo lakini mwisho wa siku asisahau kuitolea mizimu ya pale kwao DRC sadaka, ni jambo muhimu kwa mustakabali wakee, asijikite kuabudu mizimu ya watu wengine akasahau ya kwao
Ya kwao alishaachana nayo toka akiwa kwao kwa kuukumbatia galatians, alichofanya sasa ni muendelezo tu.
 
I will be short

Former yanga Player Fiston Mayele has converted to Islam . ☪️
Reports say influence from Pyramids players played a major part of his conversion.

Kibongo bongo

Ni pesa za kiarabu Hizi zinatafutwa
View attachment 3401021
===
Nyota wa DR Congo anadaiwa kusilimu

Katikati ya mafanikio yake ya soka, kumekuwa na taarifa kwamba Mayele amepitia mabadiliko makubwa ya kibinafsi. Kwa mujibu wa mwandishi mashuhuri wa michezo wa Misri, Amr El Dardir, ambaye ana zaidi ya wafuasi milioni 1.5 kwenye Facebook, mshambuliaji huyo amesilimu na kujiita jina la “Mahmoud Mayele.”

Ingawa Mayele bado hajatoa tamko rasmi kuthibitisha kusilimu kwake, vyanzo vinaeleza kuwa uamuzi huo ulifanyika katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. Hatua hiyo iliyoripotiwa imepokelewa vyema na mashabiki pamoja na wachezaji wenzake, wengi wakimsifu kwa ujasiri wake wa kuukubali imani mpya katika kipindi muhimu cha taaluma yake.

Source: MSN
Hiyo sio habari ya kutuletea humu, mbona Kuna waislami wengi sana kwa Mwamposya
 
I will be short

Former yanga Player Fiston Mayele has converted to Islam . ☪️
Reports say influence from Pyramids players played a major part of his conversion.

Kibongo bongo

Ni pesa za kiarabu Hizi zinatafutwa
View attachment 3401021
===
Nyota wa DR Congo anadaiwa kusilimu

Katikati ya mafanikio yake ya soka, kumekuwa na taarifa kwamba Mayele amepitia mabadiliko makubwa ya kibinafsi. Kwa mujibu wa mwandishi mashuhuri wa michezo wa Misri, Amr El Dardir, ambaye ana zaidi ya wafuasi milioni 1.5 kwenye Facebook, mshambuliaji huyo amesilimu na kujiita jina la “Mahmoud Mayele.”

Ingawa Mayele bado hajatoa tamko rasmi kuthibitisha kusilimu kwake, vyanzo vinaeleza kuwa uamuzi huo ulifanyika katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. Hatua hiyo iliyoripotiwa imepokelewa vyema na mashabiki pamoja na wachezaji wenzake, wengi wakimsifu kwa ujasiri wake wa kuukubali imani mpya katika kipindi muhimu cha taaluma yake.

Source: MSN
Anataka mke 4.
 
kupinga ni is just about little knowkedge on ISLAM concepts....Kama ni mfuatliaji mzuri utaona baadhi ya watu duniani waliokuwa front line ktk ant islam..namna ambavyo wali convert na kujutia....Wengine kwa kuisoma In open mind, wengine kwa kushuhudia real practices,.etc ..
Ninao friends engeniers and doctor ambao walioishi huko na wali convert..na kutengwa na familia zao kuwashangaa....imagine...!!

Giza NENE... inategemea ume- raise ktk jamii gani, ...exposed ktk mazingira gani..., affected na media kiasi gani...

Ukiwa nje ya propaganda za anti muslim ,, na uka- reason In open mind, basi usipoona ukweli basi fahamu moyo wako ushapigwa MUHURI. ..

It is so logical ..
 
Back
Top Bottom