Tetesi: Fiston Mayele kawa Muislamu?

Tetesi: Fiston Mayele kawa Muislamu?

Kishapoteza dira ya maisha, hivi hana washauri wa kumshauri mazuri ya dunia kweli? Asipo angalia vizuri atajishitukia anakuja okota makopo na kuongea peke yake huku akipiga punyeto mitaani. Uislam huu jamani ni zaidi ya tuujuavyo, ni full vituko tu.
Nadhani wewe ni nabii TITO.
 
kwa njia yake pamoja naye na ndani yake wewe Mungu baba Mwenyezi katika umoja wa Roho Mtakatifu unatupa heshima yote na utukufu milele na aa milele

Kwa kufuata maagizo ya bwana Yesu kristo tunathubutu kusema,

Baba Yetu........


Kwakua ufalme ni wako

Na nguvu na utukufu hata milele,

Eeh bwana Yesu uliyewaambia mitume wako, amani yangu nawapa amani yangu nawaachieni, usitizame dhambi zetu Ila imani ya kanisa lako,

Unayeishi na kutawala daima na milele,

Tazama mwanakondoo wa Mungu Tazama aondoaye dhambi za ulimwengu heri yetu tulioalikwa karamuni ,

Eegh bwana sistahili uingie kwangu lakini sema neno tuu na Roho yangu itapona,,
 
Never, Uislam si dini ya mtu anayependa haki kuifuata....jiulize kwanini dunia nzima inaipinga hiyo dini?
Dunia nzima!?.. waislam ni zaidi ya robo ya dunia,wapo kila nchi, UK wameshakua waziri mkuu, Scotland waziri 'mkuu',mamdani anatetemesha New York, biblia inasemaje kuhusu wahubiri wake kupigwa vita na wengi!?
 
Kishapoteza dira ya maisha, hivi hana washauri wa kumshauri mazuri ya dunia kweli? Asipo angalia vizuri atajishitukia anakuja okota makopo na kuongea peke yake huku akipiga punyeto mitaani. Uislam huu jamani ni zaidi ya tuujuavyo, ni full vituko tu.
Anatumia akili kuteka akili za warabu ili aendelee kuaminiwa
 
kwa njia yake pamoja naye na ndani yake wewe Mungu baba Mwenyezi katika umoja wa Roho Mtakatifu unatupa heshima yote na utukufu milele na aa milele

Kwa kufuata maagizo ya bwana Yesu kristo tunathubutu kusema,

Baba Yetu........


Kwakua ufalme ni wako

Na nguvu na utukufu hata milele,

Eeh bwana Yesu uliyewaambia mitume wako, amani yangu nawapa amani yangu nawaachieni, usitizame dhambi zetu Ila imani ya kanisa lako,

Unayeishi na kutawala daima na milele,

Tazama mwanakondoo wa Mungu Tazama aondoaye dhambi za ulimwengu heri yetu tulioalikwa karamuni ,

Eegh bwana sistahili uingie kwangu lakini sema neno tuu na Roho yangu itapona,,
So kuna kasoro gani hapa mkuu
 
So kuna kasoro gani hapa mkuu
Eeh bwana ulikumbuke kanisa lako linalosafiri hapa duniani...

Ulikamilishe katika upendo pamoja na baba Mtakatifu Leo, Askofu wetu Yuda Thadei Ruwaichi na msaidizi... Pamoja na waklero wote,

Uzisikilize kwa wema Sala za jamaa hii iliyokusanyika mbele yako,


Na kwa maombezi matukufu ya bikira Maria pamoja na watakatifu wote waliokupendeza tangu kale

uwakumbuke ndugu zetu marehemu uwapokee kwenye Nuru ya uso wako,

Basi kama hujaelewa mpka hapa kaka utakuwa unazingua sana

Nimezaliwa kwenye moja takatifu, la mitume mimi mkatolikiii cc DIVISHENI FOO secretarybird
 
Eeh bwana ulikumbuke kanisa lako linalosafiri hapa duniani...

Ulikamilishe katika upendo pamoja na baba Mtakatifu Leo, Askofu wetu Yuda Thadei Ruwaichi na msaidizi... Pamoja na waklero wote,

Uzisikilize kwa wema Sala za jamaa hii iliyokusanyika mbele yako,


Na kwa maombezi matukufu ya bikira Maria pamoja na watakatifu wote waliokupendeza tangu kale

uwakumbuke ndugu zetu marehemu uwapokee kwenye Nuru ya uso wako,

Basi kama hujaelewa mpka hapa kaka utakuwa unazingua sana

Nimezaliwa kwenye moja takatifu, la mitume mimi mkatolikiii cc DIVISHENI FOO secretarybird
Mkuu kwa hapa 🤔
 
Eeh bwana ulikumbuke kanisa lako linalosafiri hapa duniani...

Ulikamilishe katika upendo pamoja na baba Mtakatifu Leo, Askofu wetu Yuda Thadei Ruwaichi na msaidizi... Pamoja na waklero wote,

Uzisikilize kwa wema Sala za jamaa hii iliyokusanyika mbele yako,


Na kwa maombezi matukufu ya bikira Maria pamoja na watakatifu wote waliokupendeza tangu kale

uwakumbuke ndugu zetu marehemu uwapokee kwenye Nuru ya uso wako,

Basi kama hujaelewa mpka hapa kaka utakuwa unazingua sana

Nimezaliwa kwenye moja takatifu, la mitume mimi mkatolikiii cc DIVISHENI FOO secretarybird
Nipe dondoo kidogo kuhusu uislamu kama unavyosema wewe kuwa uislamu ni dini ya haki
 
I will be short

Former yanga Player Fiston Mayele has converted to Islam . ☪️
Reports say influence from Pyramids players played a major part of his conversion.

Kibongo bongo

Ni pesa za kiarabu Hizi zinatafutwa
View attachment 3401021
===
Nyota wa DR Congo anadaiwa kusilimu

Katikati ya mafanikio yake ya soka, kumekuwa na taarifa kwamba Mayele amepitia mabadiliko makubwa ya kibinafsi. Kwa mujibu wa mwandishi mashuhuri wa michezo wa Misri, Amr El Dardir, ambaye ana zaidi ya wafuasi milioni 1.5 kwenye Facebook, mshambuliaji huyo amesilimu na kujiita jina la “Mahmoud Mayele.”

Ingawa Mayele bado hajatoa tamko rasmi kuthibitisha kusilimu kwake, vyanzo vinaeleza kuwa uamuzi huo ulifanyika katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. Hatua hiyo iliyoripotiwa imepokelewa vyema na mashabiki pamoja na wachezaji wenzake, wengi wakimsifu kwa ujasiri wake wa kuukubali imani mpya katika kipindi muhimu cha taaluma yake.

Source: MSN
When in Rome, do as the Romans do mbona mzinze pale yanga ili apewe namba ilibidi aslim awe muislamuj
 
Nadhani wewe ni nabii TITO.
Hapana mimi ni mume wa mtoto Aisha, Muddy. Kama uamini basi ni sisi hapa chini tukiwa faragha tunajiandaa kwa shughuli.

1752292565346.png
 
Back
Top Bottom