Tetesi: Fiston Mayele kawa Muislamu?

Tetesi: Fiston Mayele kawa Muislamu?

Hata ronald alisilimu uarabuni. Pesa za waarabu ukitaka kuzipgia kiurahsi jifanye kuwa ni muislamu. Utawala hadi wake wao.
 
Alizushiwa na faiza fox ila hajawahi kusilimu
Hata ronald alisilimu uarabuni. Pesa za waarabu ukitaka kuzipgia kiurahsi jifanye kuwa ni muislamu. Utawala hadi wake wao.
 
Kishapoteza dira ya maisha, hivi hana washauri wa kumshauri mazuri ya dunia kweli? Asipo angalia vizuri atajishitukia anakuja okota makopo na kuongea peke yake huku akipiga punyeto mitaani. Uislam huu jamani ni zaidi ya tuujuavyo, ni full vituko tu.
Ukiacha akili yako iwe huru na ukawa mtu wa dini kama mayele,utasilimu tu
 
Hakuna kibaya, Mayele kaona fursa ndio anazitumia vizur, hapo Misri kobaz watamchukulia kama mtume Mudi full kummwagia mapesa

Ukitaka kuwa exploit kobaz ishi nao wanavyotaka, Mimi kipindi naishi Zanzibar badala ya kuniita Marco Polo walikuwa wananiita Mudi Polo nimetafuna sana vitoto vya kiarabu na vipemba mwishowe mkuu mmoja wa kobaz maeneo Yale akataka anipe nyumba Ili nimuoe mtoto wake nikachomoa.
Kasilimu mayele wanaumia wengine
 
I will be short

Former yanga Player Fiston Mayele has converted to Islam . ☪️
Reports say influence from Pyramids players played a major part of his conversion.

Kibongo bongo

Ni pesa za kiarabu Hizi zinatafutwa
View attachment 3401021
===
Nyota wa DR Congo anadaiwa kusilimu

Katikati ya mafanikio yake ya soka, kumekuwa na taarifa kwamba Mayele amepitia mabadiliko makubwa ya kibinafsi. Kwa mujibu wa mwandishi mashuhuri wa michezo wa Misri, Amr El Dardir, ambaye ana zaidi ya wafuasi milioni 1.5 kwenye Facebook, mshambuliaji huyo amesilimu na kujiita jina la “Mahmoud Mayele.”

Ingawa Mayele bado hajatoa tamko rasmi kuthibitisha kusilimu kwake, vyanzo vinaeleza kuwa uamuzi huo ulifanyika katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. Hatua hiyo iliyoripotiwa imepokelewa vyema na mashabiki pamoja na wachezaji wenzake, wengi wakimsifu kwa ujasiri wake wa kuukubali imani mpya katika kipindi muhimu cha taaluma yake.

Source: M
Ukiwa Roma ishi kama wao
 
Hakuna kibaya, Mayele kaona fursa ndio anazitumia vizur, hapo Misri kobaz watamchukulia kama mtume Mudi full kummwagia mapesa

Ukitaka kuwa exploit kobaz ishi nao wanavyotaka, Mimi kipindi naishi Zanzibar badala ya kuniita Marco Polo walikuwa wananiita Mudi Polo nimetafuna sana vitoto vya kiarabu na vipemba mwishowe mkuu mmoja wa kobaz maeneo Yale akataka anipe nyumba Ili nimuoe mtoto wake nikachomoa.
Aisee, kwa kweli Zanzibar walikudharau, huoni kama ulidhalilishwa kufananishwa na Muddy kweli, si unajuwa sifa zake?
 
Back
Top Bottom