Tetesi: Fiston Mayele kawa Muislamu?

Tetesi: Fiston Mayele kawa Muislamu?

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,329
Reaction score
4,198
I will be short

Former yanga Player Fiston Mayele has converted to Islam . ☪️
Reports say influence from Pyramids players played a major part of his conversion.

Kibongo bongo

Ni pesa za kiarabu Hizi zinatafutwa
IMG_2214.jpeg

===
Nyota wa DR Congo anadaiwa kusilimu

Katikati ya mafanikio yake ya soka, kumekuwa na taarifa kwamba Mayele amepitia mabadiliko makubwa ya kibinafsi. Kwa mujibu wa mwandishi mashuhuri wa michezo wa Misri, Amr El Dardir, ambaye ana zaidi ya wafuasi milioni 1.5 kwenye Facebook, mshambuliaji huyo amesilimu na kujiita jina la “Mahmoud Mayele.”

Ingawa Mayele bado hajatoa tamko rasmi kuthibitisha kusilimu kwake, vyanzo vinaeleza kuwa uamuzi huo ulifanyika katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. Hatua hiyo iliyoripotiwa imepokelewa vyema na mashabiki pamoja na wachezaji wenzake, wengi wakimsifu kwa ujasiri wake wa kuukubali imani mpya katika kipindi muhimu cha taaluma yake.

Source: MSN
 
I will be short

Player Fiston Mayele has converted to Islam . ☪️
Reported say from influence Pyramids players .

Kibongo bongo

Ni pesa za kiarabu Hizi .
View attachment 3401021
Kishapoteza dira ya maisha, hivi hana washauri wa kumshauri mazuri ya dunia kweli? Asipo angalia vizuri atajishitukia anakuja okota makopo na kuongea peke yake huku akipiga punyeto mitaani. Uislam huu jamani ni zaidi ya tuujuavyo, ni full vituko tu.
 
Kishapoteza dira ya maisha, hivi hana washauri wa kumshauri mazuri ya dunia kweli? Asipo angalia vizuri atajishitukia anakuja okota makopo na kuongea peke yake huku akipiga punyeto mitaani. Uislam huu jamani ni zaidi ya tuujuavyo, ni full vituko tu.
Wewe muislamu?
 
Kishapoteza dira ya maisha, hivi hana washauri wa kumshauri mazuri ya dunia kweli? Asipo angalia vizuri atajishitukia anakuja okota makopo na kuongea peke yake huku akipiga punyeto mitaani. Uislam huu jamani ni zaidi ya tuujuavyo, ni full vituko tu.
Wanajiskiaje
 
Ataangaika awezavyo lakini mwisho wa siku asisahau kuitolea mizimu ya pale kwao DRC sadaka, ni jambo muhimu kwa mustakabali wakee, asijikite kuabudu mizimu ya watu wengine akasahau ya kwao
 
Kishapoteza dira ya maisha, hivi hana washauri wa kumshauri mazuri ya dunia kweli? Asipo angalia vizuri atajishitukia anakuja okota makopo na kuongea peke yake huku akipiga punyeto mitaani. Uislam huu jamani ni zaidi ya tuujuavyo, ni full vituko tu.
Hakuna kibaya, Mayele kaona fursa ndio anazitumia vizur, hapo Misri kobaz watamchukulia kama mtume Mudi full kummwagia mapesa

Ukitaka kuwa exploit kobaz ishi nao wanavyotaka, Mimi kipindi naishi Zanzibar badala ya kuniita Marco Polo walikuwa wananiita Mudi Polo nimetafuna sana vitoto vya kiarabu na vipemba mwishowe mkuu mmoja wa kobaz maeneo Yale akataka anipe nyumba Ili nimuoe mtoto wake nikachomoa.
 
Back
Top Bottom