MUSSA ALLAN
JF-Expert Member
- Oct 13, 2013
- 18,925
- 13,280
Rev.Mtikila umeingia mitini au? Njoo ujibu hoja za wadau!
Last edited by a moderator:
Rev.Mtikila umeingia mitini au? Njoo ujibu hoja za wadau!
Kuna tetesi, jamaa wanaziandika hapo juu kuwa Mtikila ameukana huu uzi pamoja na hii ID!Rev.Mtikila alikuwa anadhani hizi pumba zake watu watameza tu bila kupeta hawezi kuja anachungulia tu uzi wake.
Teh teh teh!!!Kuna tetesi, jamaa wanaziandika hapo juu kuwa Mtikila ameukana huu uzi pamoja na hii ID!
teh teh teh !!! Alidhani hizi porojo zake zitapita hivi hivi, Kumbe watu bado wana kumbukumbu ya jinsi alivyopokea fedha za ROSTAM halafu leo anamuita fisadi.
Rev.Mtikila huwa ana tabia ya kutishia nyau ili avutiwe mkwanja anyamaze, lakini hiyo style sasa imepitwa na wakati.Teh teh teh!!!
Naona ID yake ni Verified ina posts 2 bahati yake huu uzi wake Mod wamemuokoa sana wamefuta posts zangu nyingi.
Hata mimi nimeona hivyo hivyo mkuu. Nafikiri tunachotakiwa ni kuchukua yale ya msingi na yale ya kiimani za kidini tumwachie mwenyewe.
Unajua Rostam Aziz muhuni sana alivyokuwa anampa pesa za kula alikuwa anamsahinisha huku CCTV zinamchukuwa.Rev.Mtikila huwa ana tabia ya kutishia nyau ili avutiwe mkwanja anyamaze, lakini hiyo style sasa imepitwa na wakati.
Anadhani anaweza kuvuta fedha kwa kila mgombea, kumbe wagombea wengine hawatumii fedha, ni nyota tu inawaka!!
Teh teh teh..Rostam alimkomesha Mtikila.Unajua Rostam Aziz muhuni sana alivyokuwa anampa pesa za kula alikuwa anamsahinisha huku CCTV zinamchukuwa.
Njaaa mbaya mkuu.
Halafu na mshangaa sijawahi sikia chaguzi za Ndani ya Chama Chake!.... Ama yeye ni mwenyekiti wa kudumu..?
Mtikila anataka kuvuta tu kwa Lowasa ili akae kimya.
Zake hizo...
ROSTAM AMUUMBUA MCH. MTIKILA Mbunge wa Igunga, Rostam Aziz , ameibua madai mapya na mazito, akisema kuna watu wazito na maarufu nchini wanapiga kampeni chafu dhidi yake huku akianika hadharani stakabadhi ya malipo ya shilingi milioni tatu alizompa mwenyekiti wa chama cha Democratic Party DP mchungaji Christopher Mtikila. Akizungumza kwa mara ya kwanza na Vyombo vya habari tangu awe mbunge kwa miaka 16 sasa, ikiwa pia na baada ya kuibuka mjadala wa kudaiwa kutumia kanisa kujisafisha, Rostam aliyaita matamshi ya Mtikila kuwa ni yenye uhusiano na kampeni chafu zinazoendeshwa na mtandao wa watu wazito na maarufu nchini dhidi yake. Hata hivyo hakuwataja. Katika hotuba yake ya maandishi , Rostam alisema haoni kosa kuchangia sh 7 miliono kwa kwaya ya Amkeni katka kanisa la kiinjili la Kilutheri Tanzania -KKKT , Usharika wa kinondoni, kwani hata Mtikila aliwahi kumwomba shilingi milioni tatu kwa ajili ya ujenzi wa kanisa, ambazo alimpa April 14,2008 kisha akatia saini. "Fedha zangu ni pato langu halali linalotokana na jasho langu ,kutokea mwaka 1852 huko Tabora kwa mababu zangu. Na kwa kutambua fedha zangu ni halali , hata Mtikila mwenyewe April 14,2008 , alikuja kuniomba nikampa na akaupokea mchango wangu wa shilingi milioni tatu kuendeleza shughuli za kanisa lake". ( Source Mwananchi)
Copy and WIN : Trade the global markets
Mkapa na Kikwete walivunja katika ya nchi ibara ya 18, inayosema haitakuwa halali kwa chama chochote kupigania maslahi ya dini au kundi lolote" iwapo chama kitafanya hivyo kitafutiwa usajiri.
Tungependa Mtikila afungue kesi hii ya kikatiba.