Fisadi Benjamin Mkapa yuko na fisadi Edward Lowassa

Fisadi Benjamin Mkapa yuko na fisadi Edward Lowassa

Fisadi Benjamin Mkapa ndiye aliyevunja Katiba ya Nchi yetu Ibara ya 26, Ibara ya 27 na Ibara ya 19 kwa kupokonya Chuo Kikuu cha TANESCO kilichokuwa kikizalisha wataalamu wetu wenyewe wa nishati, akawapa Waislam!

Hizi ni chuki za Mtikila dhidi ya Waislam mnataka watu takae kimya?
 
Mtikila katika ubora wake... karibu sana Rev.
Lakini kuna tetesi-tetesi kuwa huwa unapita-pita kwenye ofisi za Caspian na kusaini vi-petty cash voucher, tafadhali kiri au kanusha..!!
 
Aiseee kweli nimeamini Lowasa anapigwa vita
 
Mchungaji Mtikila tunakujua kwaba wewe ni puppet na unaitumikia pesa. Tuna ushaidi wa pesa ambazo umepokea hili kuja kumchafua Mh Lowassa.

You're an opportunist who is there to gain on political wrangles within CCM
 
Nenda mtikila nendaaa zama zako zimepita huwezi tena kugombanisha watanzania nendaaaa...unatuambia upendeleo kwa waislamu chuo cha tanesco? Nenda mzeee hicho chuo waache wasome tupate nako viongozi nenda mzeee zama za udini tanzania hakuna tenaaa hii ni kutokana na kuwa na wasomi pande zote za dini nenda mzee na bado watajenga chuo kingine cha kiislamu pale magogoni katapike tena basi kama upendeleoooo
 
Hilo nane


Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
 
WAFUASI WA LOWASA WAMCHAFUA RAIS MSTAAFU BENJAMINI MKAPA.

Baada ya kuona kuwa safari yao ya matumaini inafikia ukingoni leo,kambi ya lowasa yaanza kumchafua Mzee Mkapa.

Kambi hiyo imeandika waraka unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kwa jina na Mwitikila ukimuhusisha Mzee Mkapa na Ufisadi wa Lowasa.

Nimeongea na Mzee Mwitikila kaniambia hajafanya hivyo.
Kambi hii inaendelea na fitina zake za uongo wa chini kwa chini wa kumchafua kila wanayemwona anawapinga.

Taarifa hiyo ni ya uongo, ni ya kutaka kumtengua mzee mkapa katika msimamo wake wa kupinga mifumo ya wizi na rushwa, na ya kinyonyaji ndani ya chama na serikali.
 
Wafuasi walowasa na mtandao wote ni kansa ndani ya taifa hili ,kila mtu wanamchafua,mungu tuepushe na mashetani hawa,
 
WAFUASI WA LOWASA WAMCHAFUA RAIS MSTAAFU BENJAMINI MKAPA.

Baada ya kuona kuwa safari yao ya matumaini inafikia ukingoni leo,kambi ya lowasa yaanza kumchafua Mzee Mkapa.

Kambi hiyo imeandika waraka unaosambaa kwenye mitandao ya kijamii kwa jina na Mwitikila ukimuhusisha Mzee Mkapa na Ufisadi wa Lowasa.

Nimeongea na Mzee Mwitikila kaniambia hajafanya hivyo.
Kambi hii inaendelea na fitina zake za uongo wa chini kwa chini wa kumchafua kila wanayemwona anawapinga.

Taarifa hiyo ni ya uongo, ni ya kutaka kumtengua mzee mkapa katika msimamo wake wa kupinga mifumo ya wizi na rushwa, na ya kinyonyaji ndani ya chama na serikali.


Hivi hapo kwenye Mwitikila ulimaani Mtikila..??
 
Fisadi Benjamin Mkapa ndiye aliyevunja Katiba ya Nchi yetu Ibara ya 26, Ibara ya 27 na Ibara ya 19 kwa kupokonya Chuo Kikuu cha TANESCO kilichokuwa kikizalisha wataalamu wetu wenyewe wa nishati, akawapa Waislam!

Hizi ni chuki za Mtikila dhidi ya Waislam mnataka watu takae kimya?

Mkuu what do you expect toka kwa mchungaji..?! .. Amefilisika kisiasa na mawazo Pia
 
Naona hajibu atakua busy anaanda somo la leo kufundisha kanisani
 
Huu mtandao wa lowasa ni janga la taifa hili kikwete tumia nguvu zako zote na vyombo vyako vyote vya dora kuumaliza kwa maslai ya watanzania na taifa kwa ujumla,
 
Mch. Mtikila acha usanii kumkashifu Rostam wakati ulikua unakopa kwake, shame on you
 
Back
Top Bottom