Fisadi Benjamin Mkapa yuko na fisadi Edward Lowassa

Fisadi Benjamin Mkapa yuko na fisadi Edward Lowassa

Rev.Mtikila hao unawaita mafisadi ndio umekuwa ukipita kwao kuomba fedha za kujikimu na familia yako.
Unakumbuka Rostam alivyokuumbua na ile petty cash document aliyokusainisha?
Hii mada hamuhusu Rostam bali fisadi mamvi endelea kujitoa ufahamu ICU inawasubiri kuanzia jumapili.
 
Last edited by a moderator:
Kumbukumbu zangu zinaonyesha kuwa Kombe alikufa awamu ya Mwinyi ... naomba kurekeshwa kama nimekosea!!

Anyway, kwa vile ni Verified User basi tunaamini ni Mch. Mtikila mwenyewe tunayemjua. Sasa swali langu ni moja tu, ulikwa kama mwanasiasa na Mwenyekiti wa Chama, kwa jinsi unavyolalamika huoni kuwa umeshaamua kukubali kuwa Rais 2015 ni lazima atakuwa CCM!!?
 
Hii mada hamuhusu Rostam bali fisadi mamvi endelea kujitoa ufahamu ICU inawasubiri kuanzia jumapili.
Unatumia Tecno nini soma hiyo pdf Rostam katajwa sana tu download au una MB 8.
 
Mwaga mboga mzee Mtikila.
Huyu Mtikila mbaguzi na chuki zake na Waislam msome vizuri anasema Waislam wamepewa chuo bure kwani Waislam siyo watanzania hawalipi kodi, mbona kila mwaka serikali inatoa mabilioni kwa Kanisa.
 
Niliona ni mtu mwelewa lakini kumbe lengo kuu ni kutangaza chuki yake dhidi ya waislamu pole zake na ukichaa wake
 
Huyu Mtikila mpumpumbavu na chuki zake na Waislam msome vizuri anasema Waislam wamepewa chuo bure kwani Waislam siyo watanzania hawalipi kodi, mbona kila mwaka serikali inatoa mabilioni kwa Kanisa.

inamaan unataka kujifanya haujui mfumo uliopo?!
 
Jambo moja linaweza kuwa dhahiri. Mshiko.

pamoja na harakati ambazo mchungaji Mtikila amekuwa akifanya, ilikujabainika kuwa amekuwa akitumiwa na baadhi ya watu kutoa mtamko dhidi ya vitu au watu fulani kwa malahi ya aliyemtuma. Aliyemipa mpiga zumari ndiye anayechagua wimbo.

Mpuiga zumari wetu huyu, sasa anaibuka na tuhuma ambazo kwa hakika hakuna jipya kati ya aliyoandika, lakni swali linakuja kwamba kwanini sasa. inawezekana kabisa mnyukano unaoendelea Dodoma unahusika na andiko hili la Mchungaji, kwani aliyoandika hakuna jipya hivyo utajiuliza alikuwa wapi muda mwingine hadi aibuke sasa?

Je ni wabaya wa lowassa ambao wamemlipa mpiga zumari huyu? Na kuonyesha anavyoweza kubadilika( labda kwa sababu analengo na lowassa) kwa mara ya kwanza nimeona ameandika kumsifia Nyerere! kunani mchungaji?
 
Yaani huyu Mchungaji alishanifanya nisukumize gari yake mwanzoni mwa miaka ya 90.. Unfortunately huyu wa sasa hivi sio yule hata kidogo.. Huyu wa sasa ameshindwa kusimamia yale aliyokuwa anayaamini na mbaya kabisa kumbe hata yeye ana price..! Hata haya aliyoyaandika hapa ninaamini hayatokani na imani yake toka moyoni.. Lazima atakuwa anaitumikia kambi moja inayotaka uraisi..
 
Ukiwa kama mwenyekiti wa chama cha upinzani kuingilia mchakato wa ndani wa CCM ni kutaka kutuaminisha kuwa mteule wa CCM ndio atakaekuwa rais..au basi una team unayoichezea huko CCM.
 
Yaani huyu Mchungaji alishanifanya nisukumize gari yake mwanzoni mwa miaka ya 90.. Unfortunately huyu wa sasa hivi sio yule hata kidogo.. Huyu wa sasa ameshindwa kusimamia yale aliyokuwa anayaamini na mbaya kabisa kumbe hata yeye ana price..! Hata haya aliyoyaandika hapa ninaamini hayatokani na imani yake toka moyoni.. Lazima atakuwa anaitumikia kambi moja inayotaka uraisi..
Membe kampelekea mgao wa Yale mabilioni ya marehemu Gadafi kwa kifupi kanunuliwa na Membe aungane na Nape na Makonda kumchafua lowasa
 
Huyo nae amechanganyikiwa.. Aongelee mambo ya DP, ya CCM awaachie wa CCM wenyewe!!

Mgombea yoyote atakayeletwa wananchi ndio wenye maamuzi ya mwisho... hizi tabia za kutafuta kick za kijinga sijui itaisha lini tanzania.. Simamia maadiloi ndani ya chama chako, ya wengine waachie wenyewe
 
Ukiwa kama mwenyekiti wa chama cha upinzani kuingilia mchakato wa ndani wa CCM ni kutaka kutuaminisha kuwa mteule wa CCM ndio atakaekuwa rais..au basi una team unayoichezea huko CCM.

Yupo kwa membe na Jack Gotham ndiye anatumika kucheza movie yote
 
Huyo nae amechanganyikiwa.. Aongelee mambo ya DP, ya CCM awaachie wa CCM wenyewe!!

Mgombea yoyote atakayeletwa wananchi ndio wenye maamuzi ya mwisho... hizi tabia za kutafuta kick za kijinga sijui itaisha lini tanzania.. Simamia maadiloi ndani ya chama chako, ya wengine waachie wenyewe

Mtikila hataki Kiki yeye katekeleza matakwa ya Membe baada ya kumpelekea mapesa kaamua kuropoka tu ili kumfurahisha membe
 
Back
Top Bottom