Wana JF,
Serikali iliyokuwa ovyo sana kuliko zote ni ya Mkapa, baada ya kubinafsisha vitu vyote, waliovichukua wakavigeuza aiza mashule (pugu Mwisho wa lami) wakawauzia wakina barekhesa (Tazara NMC) vingine wakauzia wahindi maeneo yote ya pugu road eneo la viwanda, serikali ya sasa inapanga kwao sehemu ya kuhifadhia magodown, ukiwauliza fedha za kuuza viwanda na sehemu muhimu za viwanda zilifanya nini ? hawana jibu kumbe imeishia tumboni kwao.
Wana JF,
Serikali iliyokuwa ovyo sana kuliko zote ni ya Mkapa, baada ya kubinafsisha vitu vyote, waliovichukua wakavigeuza aiza mashule (pugu Mwisho wa lami) wakawauzia wakina barekhesa (Tazara NMC) vingine wakauzia wahindi maeneo yote ya pugu road eneo la viwanda, serikali ya sasa inapanga kwao sehemu ya kuhifadhia magodown, ukiwauliza fedha za kuuza viwanda na sehemu muhimu za viwanda zilifanya nini ? hawana jibu kumbe imeishia tumboni kwao.
Mimi siamini kama serikali inatakiwa kufanya biashara yeyote ili zaidi ya ulinzi na usalama, miundo mbinu, Afya na elimu basi.Lakini siamini kama kampuni za serikali zilikuwa au zitasaidia nchi yetu. Hizo biashara zilikuwa ni za hasara na sehemu ya wachache kuiba na watu wengi wametajirika na uizi huu. Serikali inatakiwa kuondoka na kuzuia vitu ambavyo vinazuia maendeleo na watanzania wenyewe wanaweza kujiendeleza mfano vibali vya viwanja kuchukua miaka 4 kupata hii inarudisha maendeleo nchi, rushwa bandarini, kodi zisizo na maana, umeme wa kubahatisha, maji safi, barabara zenye usalama, mfumo mzuri wa elimu na afya. Hivyo tatizo sio serikali kuwa na vitu vingi ni serikali kufanya kazi yake ya kiserikali vizuri mikopo kwa sasa ya biashara ni asilimia 20%-25% vitu kama hivi ndiyo serikali isaidie. Nchi haziendelei kwa serikali kumiliki vitu vingi bali serikali kumiliki vitu vichache ambayo watu wa kawaida hawawezi kumiliki. Ni bora barekhesa ameajiri watu, katumia faida kununua meli, ana nunua mazao ya wananchi n.k serikali ingekuwa na hizo godauni halafu wana wafanyakazi 20 na pesa inaishia mifukoni ingesaidia vipi nchi!Barekhesa ni mmoja kati wa walipa kodi wakubwa wakati ingekuwa ya serikali wananchi ndiyo wangekuwa wanatoa pesa kuendesha kwa hasara na kufaidisha wakina Idd Simba type!!! huu ni mfumo wa kibepari ujamaa umeshidwa
Wana JF,
Serikali iliyokuwa ovyo sana kuliko zote ni ya Mkapa, baada ya kubinafsisha vitu vyote, waliovichukua wakavigeuza aiza mashule (pugu Mwisho wa lami) wakawauzia wakina barekhesa (Tazara NMC) vingine wakauzia wahindi maeneo yote ya pugu road eneo la viwanda, serikali ya sasa inapanga kwao sehemu ya kuhifadhia magodown, ukiwauliza fedha za kuuza viwanda na sehemu muhimu za viwanda zilifanya nini ? hawana jibu kumbe imeishia tumboni kwao.
Ccm ishukuru Watz wengi ni wajinga laiti watz tungelikuwa kama Wakenya au wazambia tungeshaisahau ccm ktk ulimwengu huu
Kwa maelezo haya Sumaye anakesi ndefu ya kujibu..kaja ndani ya nyumba,.tumweke chini atueleze vizuri..
"fisadi" mkapa ndiye aliyembeba "fisadi mdogo" magufuli na kumtosa "fisadi" Lowassa
sasa Huyu mchungaji nadhani alikula sana kotekote hadi akawa liability
May he RIP
Mkuu Mode, as a tribute kwa Rais wetu Mstaafu, Mhe. Dr. Benjamin William Mkapa, nashauri uzi huu ufungwe.Salaam Wana wa Tanganyika'
Hahahaha, usifungwe ili vijana wa sasa wajue wasiyoyajua. Mbona unaogopa? Ukifa utataka "maandiko" yako yafungwe? Ukishaandika article haiwi Mali yako tenaMkuu Mode, as a tribute kwa Rais wetu Mstaafu, Mhe. Dr. Benjamin William Mkapa, nashauri uzi huu ufungwe.
Hawa jamaa wote wawili sasa wameungana huko, wako pamoja na watamalizana wenyewe.
RIP rais wetu mstaafu, Dr. Benjamin William Mkapa, tunakuomba msamaha kwa yote tuliyoyasema kukuhusu wewe ambayo mengine sio mazuri.
Tunakuombea upumzike kwa amani.
RIP BWM
Paskali