FirstLady1 na ujumbe kwa waliooa wote

Mokoyo

JF-Expert Member
Mar 2, 2010
15,148
5,552
Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana. Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA.

Malaki 2:15, 16
 
Kumcha Bwana ndio mwanzo wa hekima.
Zaburi 111.10a
 
Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana. Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA.

Malaki 2:15, 16

Leo nakupongeza, naona umeamua kumkumbuka Mungu wako. safi sana. concerning your argument, ambayo umekoti kwenye Bible, Mungu anachukia kuachana kabisa, na hafurahii watu wanapopeana divorce. so be careful na westernization inayosambaa kwasasa hapa tz, kwamba mtu anaamua kabisa kumpa mkewe au mumewe talaka. kumpa mume wako au mke wako talaka si sahihi kabisa, what you need to do ni kuvumiliana katika maisha, hakuna malaika, na wote tumekutana tukiwa na meno salasini na mbili, hivyo lazima kutakuwa na mikiki ya kawaida tu na ya upendo, hata kama ukisema unamwacha huyu, yule utakayemkuta kule unakoenda atakuwa vilevile tu, Ulaya kuna watu wana ndoa karibia tano, aliolewa akatoa talaka, akaolewa tena akatoa talaka, amefanya hivyo mara tano, they claim it to be a right kutoa talaka, their human right though not God's right..tofautisha kati ya human rights na God's rights. kila mtu anayekuja kwako na msemo wa human right kumbuka kuwa not all human rights are God's accepted rights, ndo maana hadi mashoga wanakubalika ulaya na africa kusini kwasababu ya human right. so is divorce, Mungu aepushie mbali balaa hili hapa tz. na wote mliotoa talaka au kupokea talaka, msioe tena wala kuoana tena, kwani mkifanya hivyo mnazini. mtabaki bila kulala na mpenzi maisha yenu yote, ama la, mrudie yule yule wa kwanza uliyempa talaka ndo utakuwa hautendi dhambi. asante kwa thread hii firstlady!
 
Leo nakupongeza, naona umeamua kumkumbuka Mungu wako. safi sana. concerning your argument, ambayo umekoti kwenye Bible, Mungu anachukia kuachana kabisa, na hafurahii watu wanapopeana divorce. so be careful na westernization inayosambaa kwasasa hapa tz, kwamba mtu anaamua kabisa kumpa mkewe au mumewe talaka. kumpa mume wako au mke wako talaka si sahihi kabisa, what you need to do ni kuvumiliana katika maisha, hakuna malaika, na wote tumekutana tukiwa na meno salasini na mbili, hivyo lazima kutakuwa na mikiki ya kawaida tu na ya upendo, hata kama ukisema unamwacha huyu, yule utakayemkuta kule unakoenda atakuwa vilevile tu, Ulaya kuna watu wana ndoa karibia tano, aliolewa akatoa talaka, akaolewa tena akatoa talaka, amefanya hivyo mara tano, they claim it to be a right kutoa talaka, their human right though not God's right..tofautisha kati ya human rights na God's rights. kila mtu anayekuja kwako na msemo wa human right kumbuka kuwa not all human rights are God's accepted rights, ndo maana hadi mashoga wanakubalika ulaya na africa kusini kwasababu ya human right. so is divorce, Mungu aepushie mbali balaa hili hapa tz. na wote mliotoa talaka au kupokea talaka, msioe tena wala kuoana tena, kwani mkifanya hivyo mnazini. mtabaki bila kulala na mpenzi maisha yenu yote, ama la, mrudie yule yule wa kwanza uliyempa talaka ndo utakuwa hautendi dhambi. asante kwa thread hii firstlady!
Asante sana kwa maneno yenye hekima MwM
 
-Mazingira mengi ya Talaka unakuta yanachangiwa zaidi na kutokua makini wakati wa kuchagua mchumba.Ndiyo mana inatakiwa pamoja na vigezo ambavyo ungependa mchumba wako awe navyo ni bora kumshirikisha Mungu katika mchakato wote na maamuzi utakayochukua
 
Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana. Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA.

Malaki 2:15, 16
Hapa umenena maana si wote wanayajua haya kama yapo katika kitabu kitakatifu ICU.
 
Leo nakupongeza, naona umeamua kumkumbuka Mungu wako. safi sana. concerning your argument, ambayo umekoti kwenye Bible, Mungu anachukia kuachana kabisa, na hafurahii watu wanapopeana divorce. so be careful na westernization inayosambaa kwasasa hapa tz, kwamba mtu anaamua kabisa kumpa mkewe au mumewe talaka. kumpa mume wako au mke wako talaka si sahihi kabisa, what you need to do ni kuvumiliana katika maisha, hakuna malaika, na wote tumekutana tukiwa na meno salasini na mbili, hivyo lazima kutakuwa na mikiki ya kawaida tu na ya upendo, hata kama ukisema unamwacha huyu, yule utakayemkuta kule unakoenda atakuwa vilevile tu, Ulaya kuna watu wana ndoa karibia tano, aliolewa akatoa talaka, akaolewa tena akatoa talaka, amefanya hivyo mara tano, they claim it to be a right kutoa talaka, their human right though not God's right..tofautisha kati ya human rights na God's rights. kila mtu anayekuja kwako na msemo wa human right kumbuka kuwa not all human rights are God's accepted rights, ndo maana hadi mashoga wanakubalika ulaya na africa kusini kwasababu ya human right. so is divorce, Mungu aepushie mbali balaa hili hapa tz. na wote mliotoa talaka au kupokea talaka, msioe tena wala kuoana tena, kwani mkifanya hivyo mnazini. mtabaki bila kulala na mpenzi maisha yenu yote, ama la, mrudie yule yule wa kwanza uliyempa talaka ndo utakuwa hautendi dhambi. asante kwa thread hii firstlady!
Je, mmemuona mtu mwenye kuhamaki katika maneno?
Afadhali kumtumaini mpumbavu kuliko yeye...Mithali 29: 20
 
Kwa hiyo jihadharini roho zenu; mtu awaye yote asimtende mke wa ujana wake mambo ya hiana. Maana mimi nakuchukia kuachana, asema BWANA.

Malaki 2:15, 16

Proverb 31:10-28
10 [a] A wife of noble character who can find?
She is worth far more than rubies.

11 Her husband has full confidence in her
and lacks nothing of value.
12 She brings him good, not harm,
all the days of her life.
13 She selects wool and flax
and works with eager hands.
14 She is like the merchant ships,
bringing her food from afar.
15 She gets up while it is still dark;
she provides food for her family
and portions for her servant girls.
16 She considers a field and buys it;
out of her earnings she plants a vineyard.
17 She sets about her work vigorously;
her arms are strong for her tasks.
18 She sees that her trading is profitable,
and her lamp does not go out at night.
19 In her hand she holds the distaff
and grasps the spindle with her fingers.
20 She opens her arms to the poor
and extends her hands to the needy.
21 When it snows, she has no fear for her household;
for all of them are clothed in scarlet.
22 She makes coverings for her bed;
she is clothed in fine linen and purple.
23 Her husband is respected at the city gate,
where he takes his seat among the elders of the land.
24 She makes linen garments and sells them,
and supplies the merchants with sashes.
25 She is clothed with strength and dignity;
she can laugh at the days to come.
26 She speaks with wisdom,
and faithful instruction is on her tongue.
27 She watches over the affairs of her household
and does not eat the bread of idleness.
28 Her children arise and call her blessed;
her husband also, and he praises her:
29 "Many women do noble things,
but you surpass them all."
30 Charm is deceptive, and beauty is fleeting;
but a woman who fears the LORD is to be praised. 31 Give her the reward she has earned,
and let her works bring her praise at the city gate.
 
Proverb 31:10-28
10 [a] A wife of noble character who can find?
She is worth far more than rubies.

11 Her husband has full confidence in her
and lacks nothing of value.
12 She brings him good, not harm,
all the days of her life.
13 She selects wool and flax
and works with eager hands.
14 She is like the merchant ships,
bringing her food from afar.
15 She gets up while it is still dark;
she provides food for her family
and portions for her servant girls.
16 She considers a field and buys it;
out of her earnings she plants a vineyard.
17 She sets about her work vigorously;
her arms are strong for her tasks.
18 She sees that her trading is profitable,
and her lamp does not go out at night.
19 In her hand she holds the distaff
and grasps the spindle with her fingers.
20 She opens her arms to the poor
and extends her hands to the needy.
21 When it snows, she has no fear for her household;
for all of them are clothed in scarlet.
22 She makes coverings for her bed;
she is clothed in fine linen and purple.
23 Her husband is respected at the city gate,
where he takes his seat among the elders of the land.
24 She makes linen garments and sells them,
and supplies the merchants with sashes.
25 She is clothed with strength and dignity;
she can laugh at the days to come.
26 She speaks with wisdom,
and faithful instruction is on her tongue.
27 She watches over the affairs of her household
and does not eat the bread of idleness.
28 Her children arise and call her blessed;
her husband also, and he praises her:
29 "Many women do noble things,
but you surpass them all."
30 Charm is deceptive, and beauty is fleeting;
but a woman who fears the LORD is to be praised. 31 Give her the reward she has earned,
and let her works bring her praise at the city gate.
Renegade umeshuka verse za uhakika. Asante sana
 
Mwambie mimi na GS tulikua single jana tukaunda serikali ya mseto...lol
LOL!! Hivi ndoa ina serikali ya mseto nayo? Haya si mambo ya CCM na CCJ na CUF etc Nisaidieni
 
1 Reactions
Reply
Back
Top Bottom