- Thread starter
- #41
Mkuu ni kweli kabisa hamna sababu ya kucheza na chakula wakati kuna wasiokipata, nina ndugu yangu naye ana principle kama ya kwako, ila yeye ni mkali zaidiMkubwa, hapa ndo mi huwa nakuwa mkali kama pilipili home kwangu!!!
kikiharibika kwa uzembe, watajichanga wanunue kingine.......fresh then tukipeleke kwa jirani wanaozungumzwa na yesu.