Bigirita
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 15,989
- 7,356
Kumbukumbu la torati linasema 16:1-15
Mkamchinjie Bwana Pasaka, na isionekane kilichitiwa chachu nyumabani kwako kwa siku saba, hata hiyo nyama utakayochinja, na isilale, iliewe yote kabla ya machweo. Na pasaka huyo usimchinjie ndani, bali sehemu utakayoichagua.
sio word to word...........Sadaka ya kuteketezwa.........kambuzi lazima kaanguke Pasaka bana.
Mkamchinjie Bwana Pasaka, na isionekane kilichitiwa chachu nyumabani kwako kwa siku saba, hata hiyo nyama utakayochinja, na isilale, iliewe yote kabla ya machweo. Na pasaka huyo usimchinjie ndani, bali sehemu utakayoichagua.
sio word to word...........Sadaka ya kuteketezwa.........kambuzi lazima kaanguke Pasaka bana.