First years wa mwaka huu tuwaitaje?

First years wa mwaka huu tuwaitaje?

Haya ndiyo maswali yanayowafikirisha "wasomi" wetu?
 
Ndio watu wa namna hii wanaandika na proposal na reseach wanapata na vyeti
wanaajiriwa kwenye maofisi makubwa kumbe kichwani hamna kitu.

Kwa taarifa yako,hicho si kiingereza wala kiswahiii. Tafakari
 
Haki ya mungu,
Yaani toka umeingia chuo mwaka 2005 akili haijakuwa tu?

Nilifikiri niliyeona hilo ni mimi tu.

Ahsante.

Haya mambo tulifanya Tambaza early nineties, kuwapa initiation rites "njuka".

Watu miaka yote chuoni bado wanapata "Jioni Kisomo's boner" over the name.of this years freshers.

Just goes to show how some peeps know how to waste processing power.
 
Ndiyo. Siasa zinachosha

Katika akili yako maswali pekee ya kuzingatia ni ya siasa.

No wonder.

BTW, even for a comedic break geared at silliness, your wuestion.is wooden and uninteresting.

Something you get from a form two student at Tambaza, back in the nineties.
 
Nilifikiri niliyeona hilo ni mimi tu.

Ahsante.

Haya mambo tulifanya Tambaza early nineties, kuwapa initiation rites "njuka".

Watu miaka yote chuoni bado wanapata "Jioni Kisomo's boner" over the name.of this years freshers.

Just goes to show how some peeps know how to waste processing power.

Nothing is serious here Comrade. Save your energy
 
Nothing is serious here Comrade. Save your energy

Who said anything was serious?

I am saving more energy than a low watt bulb, but still shine brighter than a diamond.

Your misplaced and thinly disguised bully style condescension is what needs saving for more appropriate battles.
 
Who said anything was serious?

I am saving more energy than a low watt bulb, but still shine brighter than a diamond.

Your misplaced and thinly disguised bully style condescension is what needs saving for more appropriate battles.

Yes Sir. Have a wonderful weekend!
 
Katika akili yako maswali pekee ya kuzingatia ni ya siasa.

No wonder.

BTW, even for a comedic break geared at silliness, your wuestion.is wooden and uninteresting.

Something you get from a form two student at Tambaza, back in the nineties.

So what? I know you are older than me
 
Acha kiherehere kama unaona mada ni ya kijinga si ukaushe unamletea nani vingereza vingi amna wa kukusifia hapa..mada ngapi za kijinga hapa jukwaani unajifanya hii ndo imekugusa saana
 
haya tumeshajua nawew ulisomaga chuo...
hongera mana nafikiri miaka hiyooo kulikua na chuo vichache na vyaukwee sio kama miaka hii
 
Back
Top Bottom