Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,468
- 119,622
Jamaa hata kingera hajuiiiii...... afu hataki kukubali hakuna FIRST YEARS uwiiii mwache abaki na ujinga wake alio nao KUBWA JINGA HILO
Kingera ndo lugha ya nchi gani?
Jamaa hata kingera hajuiiiii...... afu hataki kukubali hakuna FIRST YEARS uwiiii mwache abaki na ujinga wake alio nao KUBWA JINGA HILO
Kama unajua grammar, usage, na mechanics za Kiingereza basi utajua kuwa wanafunzi wa mwaka wa kwanza chuoni hawaitwi "first years".
Kuna kawaida kila mwaka first years kuwa na jina. Mimi mwaka 2005 niliitwa 'Tsunami'. Napendekeza waitwe 'Rasimu' au 'Bunge la Katiba' au UKAWA
Wadau mnasemaje?
Duuuu kubwa zima hovyoooooooooo..... kumbe ma ww bado hujakua eeh una akili ya kiprimary ya kuitana majina ya kikudaaa uwiiiii.....afu eti we ni msomi.... itakusaidia nn ukiwapa first year jinaaa....kazi kweli kweli na wapuuzi wenzio wanakuunga mkonoooo kwenye ujinga ama kweli ukubwa wa pua sio wingi wa kamasiiiii......sio mpaka ugongewe kengere ndo ujijue umekuwa yaani unakosa cha kufanya unatuletea mada ya kipuuzi kama hiii........na wanao kuunga mkono nao wapuuzi mm nilijua hizi tabia ni za 4m1 kumbe hadi huku juu