OLESAIDIMU
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 19,139
- 9,575
nilichogundua humu JF hasa MMU ukiwa tofauti tu na misimamo ya kundi fulani wewe ni tatizo....
back to the topic....unakutana na mtu kwa mara ya kwanza hujapenda appearance yake/manners zake whatever hivyo ndivyo alivyo deal with it au move on! sasa hii habari ya kufundishana eti ukikutana na mtu mara ya kwanza vaa hivi,ongea hivi,kula hivi sijui nini sasa kama hayuko hivyo awe na kazi ya ku-act date nzima!!!! ndio maana fekero zimejaa mjini.
tulikutana kwenye daladala chanika buguruni mi nilipandia pugu kajiungeni, nikabahatika kupata siti yenye mrembo, nikatupiamo ngeli za kiarifa, zikapasishwa mia kwa mia, roho ikafurahia ushindi, tuliposhuka buguruni kumbe mwenza wangu ana tatizo la mguu wa kushoto na mkono wake, sikutegemea ile hali hivyo nilipata mshtuko kwakweli
Kaka, mbona hii ni filamu ya kinigeria tena MR IBU
Twambombooo....
Jamani hili nimeandika kwa experience kabisa, nikaona ni vizuri leo tueleweshane ili isaidie kurekebisha makosa fulani fulani kwa wale watakaokutana...
MADA: Meeting kwa mara ya kwanza, kwa wale ambao hawajawahi kuonana kabisaaa,mara nyingi wakitumia mawasiliano tu,tunashukuru whatsapp inatusaidia hata kutumiana vipicha vya photo point.
WANAUME; kiukweli siku ya kwanza unayoenda kuonana na mtu ambaye hamfahamiani kisura/physically hasa wa jinsia ya KE ,Jitahidini kuwa na maongezi mazuri,ambayo utamvutia mtu hata siku nyingine akitaka kuonana kunakuwa hakuna vikwazo..
Kuna wanaume wengine sijui ni ujinga au hofu, sielewi,mkikutana stori za kishenzi tu,yani hazivutii hata kidogo ,mara anakaza mimacho kukuangalia cha kuongea hakuna ,unajitahidi kuleta stori kunyoosha maongezi dira hakuna kabisa,mwisho mtu unajidai emergence imetokea bora uondoke mana hata raha ya kukaa hakuna.
WANAWAKE:Mkaka umetulia,umejipanga mwenyewe, unashangaa unakutana na kituko,Mdada kwenye kiti hatulii,mara nimependa shati lako,yani we kaka mzuri,yaani Mcharuuukoo,mpaka unajikuta hamu ya kukaa hakuna,maana hata kama uchangamfu ni too much.
Mwingine anakuja kila ukijitahidi kuongea kaka wa watu,mdada kanaishia kujichekesha tu au yuko kimya mpaka mtu unaboreka.Hapo hata akitaka muonane siku nyingine huwezi ukakubali maana unajua ni yaleyale tu.
Wadada wengine,atajipodoa na kuwa kama asha ngedele,yaani anatia kichefuchefu hata kumwangalia.Kwanini mtu usiende simple tu, kama unataka kuonekana wewe ni mrembo utaonekana tu huna sababu ya kujikoki.
Usije ukajiuliza yule mtu before tulikuwa tunawasiliana vizuri mbona sahizi mawasiliano yanalega,hapo jua kuna kitu ulikosea KABOREKA NA WEWE,anaona bora akupotezee mazimaaa.
JAMANI, kukutana na mtu haimaanishi kwamba ndo Mnataka kutongozana, au mtu anakupenda,its just a matter of kufahamiana tu,kwani huwezi jua huko mbeleni kwenye kufahamiana kuna nini mtakuja kusaidiana.
Kuna wengine wanakuwa safi mpaka unatamani uonane nae tena na tena na tena...
Tujirekebishe,kila mtu nadhani ametambua wapi ni wapi na ni nini.
Mzee mimi siwezi hayo mambo ni aibu kwangu..tuwaachie wakina fatuma..mimi nlikuambia hivyo maana unaniquote kwa kuangalia mambo nliyopost mwezi uliopita i dont think if its okay..Ha ha haaaa daaanh nilidhani ni jukwaa na ukiona kina kitu wengine wanahitaji kuona una mention sasa kama unadhani unafuatiliwa personally we utakiwa na shida sana yaaani!!!!!
We una nini ufuatwe by the way ni jukwaa huru so kama vipi nenda mitandao mingine ambayo unachagua viewers!!!!! Hunijui sikujui ni hoja kwa hoja sasa unahisi unafuatiliwa!!!!!! What for????!!!! Ati kupigiwa makofi,at this age kabisa unawaza this way????!!!!
Ati prove or accomplish!!!! Are you serious yaani kwa user names? ???!!!Kwa kuku challenge wewe ndio i am expecting a reward????!!!!! Do i sound like a wanna be???!!!!
Halafu unapenda sana matusi, wewe ndio unaona ujanja kutukana nadhani!!!!!
For your information this is one among the free platforms to air views through and before doing that make sure you are ready to be challenged otherwise you keep them for your own private
good use!!!!!
Hate the game fella....
Mkuu tuache hizo mambo kwa kina mwajuma just get over it..tusonge mbele tunaharibu uzi wa mtu bila sababu za msingi..kisha tunataka tuonekane wajuaji..mambo ya mwezi uliopita kwanini tulete kwenye uzi wa watu mzuri tu huu..ni utoto na ujingaSasa kama unajua its all aboit challenges and arguments why the hell do you think its getting personal!!!!!!!
Retrograde thinker you are
This is childishZinazinguliwa hoja zake na sio yeye!!!!!!!
Hayo ya umaarufu labda celebs forum mkuu!!!!!
Unajua chief bahati mbaya sana huyo bro namjua, unakuwa kama kakutongozea demu wako hapa kaka, maana mpaka unamwitia watu wamwone alivyo kilaza, ila si kilaza kama unavyodhani, we mchunie tu au.?Zinazinguliwa hoja zake na sio yeye!!!!!!!
Hayo ya umaarufu labda celebs forum mkuu!!!!!
Unajua chief bahati mbaya sana huyo bro namjua, unakuwa kama kakutongozea demu wako hapa kaka, maana mpaka unamwitia watu wamwone alivyo kilaza, ila si kilaza kama unavyodhani, we mchunie tu au.?
Mzee mimi siwezi hayo mambo ni aibu kwangu..tuwaachie wakina fatuma..mimi nlikuambia hivyo maana unaniquote kwa kuangalia mambo nliyopost mwezi uliopita i dont think if its okay..
Mkuu tuache hizo mambo kwa kina mwajuma just get over it..tusonge mbele tunaharibu uzi wa mtu bila sababu za msingi..kisha tunataka tuonekane wajuaji..mambo ya mwezi uliopita kwanini tulete kwenye uzi wa watu mzuri tu huu..ni utoto na ujinga
Aise kuna tatizo hapa...tuache hii aibu..huku ni kujidhalilisha bila sababu..!!Naona lugha ya kistaarabu inakushinda kabisa!!!!
Nakukumbusha tu bira ungekuwa huyo Mwajuma.watu wale mahari kuliko hili unalolikuza kuwa nakufuatilia sasa bila kuweka historia sawa jukwaa litapotoshwa na uzushi wako huu! !!!!!!
Ungeniambia niunge rejea yangu na uzi huu nikashindwa basi ningekuwa juha sana,ila unaposema nakufuatilia sijui nakumbusha ya zamani na kama hayo ni kawaida tu mi naona sababu ninaangalia perception na maudhui ya nini kinajadiliwa in line with the previous topic!!!!!
Na bado una ill perceived knowledge unayoionesha kwa kudhani majina fulani yana tabia fulani wakati names are chosen while habits are learned through culture na ukiambiwa unaona unafuatiliwa!!!!!
Mambo ya zamani yapo hata makumbusho, historical sites, archives, oral traditions na kama hayo na yanatumika inapobidi sasa ajabu nini ya kwako yakitumika?????!!!!!
Get a life and move on, I have nothing close to whatever rings in your mind in the name of "personal" it be attack or association!!!!
Sioni sababu ya haya yote..get over it..songa mbele..unaongea sana..Kwani uliambiwa hili ni daftari likiisha ndio limeisha??????!!!!!
Ziko za mwaka 2010 humu na.ikiwa muhimu kwa mtoa mada atarejea mimi nililenga perception yako!!!!!!
Ila sababu unaona kama unafuatiliwa basi chukulia hivyo ila wewe kama wewe huna la kufanya na mawazo yako ukishayatoa humu basi inakuwa ni forum content otherwise withdraw au delete them!!!!!!!!
Yaani nafikiri jamaa anachoshangaa..unaonekana una hasira sana nyuma ya keybord..sababu nini hasa..?! kuwa na mawazo tofauti na wewe na hao uliwatag..!? nashangaa sana whats the big deal out of it..? what are want to prove and accomplish..get over it kama mwanaume na usonge mbele..basi kama unaona ni ujanja endelea kufuatilia kila nachocoment na kuwatag hao washkaji..ili uprove hicho unachotaka kuprove..ila naona kama utoto flani hivi..?!Sidhani kama ina lolote na kujuana ndio maana kuna user names mkuu!!!!!!
Wewe unayemjua ndio sasa unachukulia personal!!!!!
Kutongoza demu wangu?????!!!!!!! Long time kitambo hiyo mambo mkuu married na watoto na naiheshimu ndoa yangu na inawezekana wewe na huyo unayemuita braza mkawa wadogo vile vile
!!!!
Hayo ya ukilaza na name calling inaonekana wewe na yeye mnayapa nafasi, kwa kuweka kumbukumbu sawa hiyo ilikuwa ni probing method ,kuna mjadala tulikuwa wote na hao waliotajwa na ilikuwa juu ya hiyo perception na reality basing on the actor!!!!!
Aise kuna tatizo hapa...tuache hii aibu..huku ni kujidhalilisha bila sababu..!!
Unazunguka tu ila kwa mtu mstaarabu ukimuambia anakufuatilia ni bora umtukane sababu kumfuatilia au kumfuatafuata mtu pasipo sabubu ni dalili ya mwisho kabisa ya mtu asiye mstaarabu!!!!Yaani nafikiri jamaa anachoshangaa..unaonekana una hasira sana nyuma ya keybord..sababu nini hasa..?! kuwa na mawazo tofauti na wewe na hao uliwatag..!? nashangaa sana whats the big deal out of it..? what are want to prove and accomplish..get over it kama mwanaume na usonge mbele..basi kama unaona ni ujanja endelea kufuatilia kila nachocoment na kuwatag hao washkaji..ili uprove hicho unachotaka kuprove..ila naona kama utoto flani hivi..?!
What is the problem with u..hivi unajua huwezi kunifundisha mahali na namna ya kutumia neno lolote hapa..mbona umepanic sana shida nini ..!? alafu una kaujuaji kanakusumbua kweli..Usikwepe tatizo uliloanzisha kwa kisingizio cha aibu!!!!!!
Next time maneno kama "nag" uyataumie kwa uangalifu!!!!!!
Sasa wewe unachofanya nini..yaani mambo ya thread ya mwezi iliopita, unataka kuleta hapa na kutag watu ili iweje kwa ushabiki ushabiki nakuliza whats big deal out of it unashindwa kuniambia ..!? Nakwammbia get over with it.. u still naging kama mtoto mdogo ..huoni aibu..!?Unazunguka tu ila kwa mtu mstaarabu ukimuambia anakufuatilia ni bora umtukane sababu kumfuatilia au kumfuatafuata mtu pasipo sabubu ni dalili ya mwisho kabisa ya mtu asiye mstaarabu!!!!
Ulitaka usema hayo then nikuchukulie poa tu!!!!!