Ushamba wa kufika Ulaya na kupiga picha madukani.
Mbona vifundo vya vidole rangi tofauti na mwili wake? anajikoroga? Mzee wa watu kaingia kichwa kichwa alifikiri ni natural.
Na Dokta ndiye alimpiga hiyo picha? maana huyo hajafikia kabisa kiwango cha kusafiri kama The True First Lady pamoja na Camera man.
Au Dokta alibaki Vatican, mamaa akaenda Uchina?
Hahaha....Hapo China
Akienda Ulaya itakuwaje?
JK hachukuagi dizain hizo umbo ka tofali, mguu / tege km namba 11 ya Simba au KabangeWako pamoja, labda Dr. ndio alipiga picha hii.
Hawezi kuwa peke yake maana jinsi alivyopendeza, unaweza kukuta JK anaanza kukodolea macho na kumuomba namba ya simu !!
Ushamba wa kufika Ulaya na kupiga picha madukani.
kwikwiwkiwkwiwkwi mambo ya kike hayo stockings hizo wacha ushamba au unamwambia afunue kasketi kidogo uthaminishe miguu na paja kwiwkiwkwiwkwiNi Photoshop au Live Live? Hapo kwenye Mguu ni sox au nini mbona kama pameungwa na mguu bandia?
hapo unataka kumchokoza Ritz na kaanzishia siredi kabisa leo kuhusu ndoa ya Dr slaa n ahuyo mamam anasemaHuyo 'natural' kabisa !! Check magotini ndio utaona. Angekuwa kajikoroga, magoti yangebaki meusi tii.
Ila uongo mbaya, kapendeza, haswa mrembo 'anawaka' !! Haswa na ile pete yake ya ndoa !!
Hahahahahahaaaa zomba unasemaje?? Hukumuona mzee wa kupanda vibaiskeli vya kukokotwa na farasi na kupiga picha na masupestar huku nchi ikiwa na ombwe la uongozi? halafu sijui magogoni kuna kunguni? kesho utamsikia huyooooo.....
Kwa Mk.were hapo roho bariiiidiiiii.... huku nchi inaangamia... apigiwe hata mizinga mia moja sio issue ukweli utabaki kuwa he is a failure na hatukuwahi kuwa na uongozi dhaifu kama huu. thats all.Ile ni dhifa ya Kitaifa na gwaride la maaskari na mizinga 21 juu, si kigari pekee, unataka kulinganisha mbingu na kokoto?:
Kwa Mk.were hapo roho bariiiidiiiii.... huku nchi inaangamia... apigiwe hata mizinga mia moja sio issue ukweli utabaki kuwa he is a failure na hatukuwahi kuwa na uongozi dhaifu kama huu. thats all.