First lady Regina ndani ya Arusha Mjini

First lady Regina ndani ya Arusha Mjini

Huyu mama hajui nafasi yake katika familia.Mume wake sio siri anaumwa.Badala ya kumpeleka mumewe kumwuguza hospitali au amwuguze nyumbani anamwacha mumewe aadhirike kwenye majukwaa ya kisiasa kwa hali mbaya ya afya Akishindwa kupanda majukwaa na kushindwa kuhutubia na hali zingine mbaya za kiafya..

Sijawahi ona mwanamke katili kama Regina Lowasa.Regina alitakiwa awe na huruma na mgonjwa wake amwambie atulie nyumbani atibiwe

Huna akili..
 
Huyu mama hajui nafasi yake katika familia.Mume wake sio siri anaumwa.Badala ya kumpeleka mumewe kumwuguza hospitali au amwuguze nyumbani anamwacha mumewe aadhirike kwenye majukwaa ya kisiasa kwa hali mbaya ya afya Akishindwa kupanda majukwaa na kushindwa kuhutubia na hali zingine mbaya za kiafya..

Sijawahi ona mwanamke katili kama Regina Lowasa.Regina alitakiwa awe na huruma na mgonjwa wake amwambie atulie nyumbani atibiwe

Mbona ambao wazima wanaendea kufa
 
Huyu mama hajui nafasi yake katika familia.Mume wake sio siri anaumwa.Badala ya kumpeleka mumewe kumwuguza hospitali au amwuguze nyumbani anamwacha mumewe aadhirike kwenye majukwaa ya kisiasa kwa hali mbaya ya afya Akishindwa kupanda majukwaa na kushindwa kuhutubia na hali zingine mbaya za kiafya..

Sijawahi ona mwanamke katili kama Regina Lowasa.Regina alitakiwa awe na huruma na mgonjwa wake amwambie atulie nyumbani atibiwe

Selina Kombani RIP alisema kwa nyodo kama wewe leo hii yuko wapi? Komba naye alisema Warioba anasubiri kuda leo yuko wapi?

Acheni kucheza na Mungu nyie Watu
 
Anajua tz ni zaid ya mumewe dats y anampa saport mumewe da next presidnt
 
Huyu mama hajui nafasi yake katika familia.Mume wake sio siri anaumwa.Badala ya kumpeleka mumewe kumwuguza hospitali au amwuguze nyumbani anamwacha mumewe aadhirike kwenye majukwaa ya kisiasa kwa hali mbaya ya afya Akishindwa kupanda majukwaa na kushindwa kuhutubia na hali zingine mbaya za kiafya..

Sijawahi ona mwanamke katili kama Regina Lowasa.Regina alitakiwa awe na huruma na mgonjwa wake amwambie atulie nyumbani atibiwe

Mama yake alivobeba mimba yako kilabuni hukumuona katili? We mshenzi nini
 
Huyu mama hajui nafasi yake katika familia.Mume wake sio siri anaumwa.Badala ya kumpeleka mumewe kumwuguza hospitali au amwuguze nyumbani anamwacha mumewe aadhirike kwenye majukwaa ya kisiasa kwa hali mbaya ya afya Akishindwa kupanda majukwaa na kushindwa kuhutubia na hali zingine mbaya za kiafya..

Sijawahi ona mwanamke katili kama Regina Lowasa.Regina alitakiwa awe na huruma na mgonjwa wake amwambie atulie nyumbani atibiwe

Wewe unaejua nafasi yako umeifanyia nini familia yako:what: kila siku na michepuko tofauti huna lolote kunguni wewe..!!
 
Wamama na wasichana wote wanaojielewa watakaohudhuria wamshauri Regina Lowasa kuwa amshauri mumewe Lowasa aache siasa aende hospitali kutibiwa badala ya kwenda ya kwenda kwenye majukwaa ya siasa kwa hali ile aliyonayo.

Wakimshauri hilo watakuwa wametenda haki kama wamama na wasichana wanaojielewa.Vinginevyo wasipofanya hivyo nao nitawaona vichwa vyao vimejaa maji na mbege tu.

 
Last edited by a moderator:
Limke la magufuri kusalimia mpaka li chuchumae daah ukulima nooma likienda ulaya nako lazima achuchumalie wazungu teteteteh
 
Huyu mama hajui nafasi yake katika familia.Mume wake sio siri anaumwa.Badala ya kumpeleka mumewe kumwuguza hospitali au amwuguze nyumbani anamwacha mumewe aadhirike kwenye majukwaa ya kisiasa kwa hali mbaya ya afya Akishindwa kupanda majukwaa na kushindwa kuhutubia na hali zingine mbaya za kiafya..

Sijawahi ona mwanamke katili kama Regina Lowasa.Regina alitakiwa awe na huruma na mgonjwa wake amwambie atulie nyumbani atibiwe

Nenda kachukue nafasi ya mama Regina ,wewe Mke bora
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom