..Bora mie sijasema! Nilimwambiaga siku nyingi huyo FL1 kuwa tule tu-lips twake mh! kwa kweli ukimbananisha huachii mpaka asikie kiu ya maji!!..First Lady usinisahau mie ngoja nijikalie kimya huenda ukanionea huruma!
usikonde pasi muhimu ndio maana ya team workila nami nakuunga mkono kwani huyu dada anaonekana ana bidii kweli pande zote, ukimpata huwezi kujutia- ila umetuwahi wengi kusema hivyo. kama hupo kikazii zaid katika kamchezo hako basi kumbuka kunipa pasi akiwa kimapenzi zaidi
..Bora mie sijasema! Nilimwambiaga siku nyingi huyo FL1 kuwa tule tu-lips twake mh! kwa kweli ukimbananisha huachii mpaka asikie kiu ya maji!!..
usichokoze hapo kwa taarifa yako kila kiumbe hambacho akijapata ajali kitakufa sababu ya ukosefu wa kinga ya mwili (ukimwi) yaani mwili hauwezi kujikinga na ugonjwa wowote. (kimya usimwambie mtu)hiyo kali, ila nawe umezidi kama ndo hivyo basi utapata unayempa kwa sasa