Hapo kosa ni la wafanyakazi wa TANROAD, walipaswakuweka kibao cha ujumbe au Alama mahala panapoonekana vizuri kwa uwazi kabisaKilikuwa upande usioonekana vizuri
Halafu kingine walitengeneza njia ya kutokea na kuingia sasa sisi tuliona boda wanapita tukawafuata nyuma ndio kukutana na gari zinarudi! Ikabidi tukate sehemu tugeuke ndio kushangaa tuko njiani kumbe kuna watu wametuona wakawa wanatufkuzia na boda wanaamini ela ipo hapo!Hapo kosa ni la wafanyakazi wa TANROAD, walipaswakuweka kibao cha ujumbe au Alama mahala panapoonekana vizuri kwa uwazi kabisa
Poleni sanaHalafu kingine walitengeneza njia ya kutokea na kuingia sasa sisi tuliona boda wanapita tukawafuata nyuma ndio kukutana na gari zinarudi! Ikabidi tukate sehemu tugeuke ndio kushangaa tuko njiani kumbe kuna watu wametuona wakawa wanatufkuzia na boda wanaamini ela ipo hapo!