Mndengereko
JF-Expert Member
- Mar 24, 2011
- 7,306
- 3,413
mkuu mimi siujui nina makengeza hata sijielewi,sioni black dot hata moja naashangaa wenzangu wanaosema zipo kila mahaliLet me call him! Mndengereko ukuje hapa!
mkuu mimi siujui nina makengeza hata sijielewi,sioni black dot hata moja naashangaa wenzangu wanaosema zipo kila mahaliLet me call him! Mndengereko ukuje hapa!
that y you need to be #teamrDada yng ntalewa na pia ntamlewesha na yeye Maana kwa mistari Mimi Ni balaa!
mkuu mimi siujui nina makengeza hata sijielewi,sioni black dot hata moja naashangaa wenzangu wanaosema zipo kila mahali
Pole Mkuu!
Pamoja na miwani yote Hiyo kwenye avatar yako huoni kitu?
hahaaa!! ushaogopa!! poa basi msalimie mama yoyoo!! mwambie mkurya mzungu anamsalimia!
How this is possible? Ndio tofauti kati ya sumbawanga ya wenzetu na ya kwetu.
umeona mkuu eenh! yani nimewaza sana! hii ni picha gani aisee?
wengine wanadai freemason qulaleki....
mbongo akiona kitu asichokijua anakimbilia kusema free-mason
nimeshahama.... kwani hujui maana ya humanitarian logistics?
mimi sio mti bana! i move for green pasture...
hapo kwenye red.. Nyani Ngabu anasema 'miafrika ndivyo tulivyo', sijajua anawaza nn hasa mpaka leo!Kabisa Kiongozi Excel.
Wazungu wametuacha mbali sana. Freemason imetawala sana akili za watu kwa kweli... sema kwa kuwa kila mtu anajua lake wa kupotosha anapostosha kwa namna yake, ambacho hawapotoshi ni kuwa hii ni TAASISI YA KISHETANI.
Kaka wazungu wamefanikiwa kutuacha mbali maana priority zao na zet ni mama moja baba tofauti.. kwa sababu wakati sisi tunaumiza kichwa namna ya kupata mkate wa siku wenyewe tayari wameshashiba (wengi wao) kwa hiyo wanapata muda wa kutafiti na kufanya mwengine katika uvumbuzi na kurahisisha maisha.
Bahati mbaya kwetu mtu aliyejikwamua vizuri (sio wote) priorities zinabadilika kuhamia kichwa cha chini na starehe nyinginezo? Bisha??????
hutaki tumove bana.. lol! tunaanza na theories kwanza kwa kuzijua sehemu. baadae tunaingia kwa vitendo...
hapo kwenye red.. Nyani Ngabu anasema 'miafrika ndivyo tulivyo', sijajua anawaza nn hasa mpaka leo!
tatizo letu kuu ni kwamba hatujitumi sana, mtu akipata kidogo tuu utasikia 'nimeridhika na nilichonacho'!! aisee huo msemo siupendi kama nini!... yani mbongo badala ya kufanya kazi, anakaa tu na kusema 'MUNGU atanijalia'!!!
mkuu, tatizo letu kuu mpaka sasa sijalijua, mwenye pesa ananishia kuponda starehe....
masikini nae anakula mpaka akiba...
nani alaumiwe??
jamani mimi sio freemason! hahahaaaaa!! nitafutieni tu hio doti nyeusi!
cc.. Lizzy, Passion Lady, ICHANA, nameless girl, Lilac, Rogie, Rich Pol, kiwatengu, shansarie... etc!
​mkwe naona maruwe ruwe tu!!hata sielewi!!umeiona hio picha juu? hebu nioneshe kulaleki kidoti cheusi!
hahahaaa!! lazima utakuwa na malienge... uongo?