hahahaaa!! kwa hiyo umeshindwa kuona kidoti ?
qudadeki... waite wenzio watano wakusaidie!!
Hapo mchicha umerudi twisheni..
NImemwita na mwanangu mdogo hapa anisaidia kashindwa sasa nimemuambia mama yao kuanzia leo hakuna kupika mchicha hapa kwangu kama watashindwa kuniambia hako kadot kako wapi.?
hahahaaa!! usiue familia bana!! excel anaweza kuwa freemason!! hahaaa!!
hahahaaa!! hiivi sijakupaga stori ya hiyo GOLD?
aisee kuna watu tuna bahati duniani sijaona!!!
Ebu nipe stori.
Kutembea na GOLD mpaka humu ndani sio mzaha.
ilikuwa ni juzi bana! mi niko tu nimekaa zangu ghetto sina 1 wala mbili! niko napiga miayo,
mara nasikia ngo ngo mara mbili kwenye mlango wangu wa mbao, tall man nikaamka mdogo mdogo kwenda kuangalia anaegonga mlango ni nani usiku huu??
niendelee?
Teh! unataka kuanza na wewe za yule jamaa wa penzi na mwl wake wa hesabu duu.. endelea
jamani mimi sio freemason! hahahaaaaa!! nitafutieni tu hio doti nyeusi!
cc.. Lizzy, Passion Lady, ICHANA, nameless girl, Lilac, Rogie, Rich Pol, kiwatengu, shansarie... etc!
hahhaaaa!! yule jamaa mzushi bana..
haya,
basi mtu mzima na urefu wangu nikainuka.. nikajivuta vuta pale na kujikusanya mzima, nikavaa kaptula yangu ya jeshi.. nikawashaa kibatari kile nilichachiwa urithi na babu bana!!
sasa ile kuamka tu kufungua mlango!!!
salaaaaale!!
niendelee??