Finally, I'm that auntie from dad's side!

Finally, I'm that auntie from dad's side!

Ila shangazi yako amejua kunichekesha😂😂

Sema huwezi jua aliona nini Kwa huyo binti Hadi aliingilia Kati kukuepusha nae
🤣🤣🤣 , Siyo poa .

Alikuwa anakuja hadi Ofisini ..

"Naitwa mama Fulani nimefanya kazi pale .. .. Sasa hivi ni mstaafu ... Namuulizia mwanangu Fulani ... 🤣🤣...

Shangazi kunyweni hata soda jamani ... Yeye ndo katutembelea alafu anatupa ofa .. 🤣🤣🤣 .....

Kwanza this weekend wacha nimtembelee nimjulie Hali
 
🤣🤣🤣 , Siyo poa .

Alikuwa anakuja hadi Ofisini ..

"Naitwa mama Fulani nimefanya kazi pale .. .. Sasa hivi ni mstaafu ... Namuulizia mwanangu Fulani ... 🤣🤣...

Shangazi kunyweni hata soda jamani ... Yeye ndo katutembelea alafu anatupa ofa .. 🤣🤣🤣 .....

Kwanza this weekend wacha nimtembelee nimjulie Hali
😂 😂😂😂,
Mtembelee kwakweli mkapige na story
 
Mimi ni yule Auntie kila mtoto anawish kua nae, watoto wa ndugu zangu wananipenda sana, nilivyopata mtoto wangu wakaanza kulia eti sitowapenda tena wao😄😄🤣
 

Attachments

  • Screenshot_20250927_160940_WhatsApp.jpg
    Screenshot_20250927_160940_WhatsApp.jpg
    53.3 KB · Views: 8
Wakuu habari za nyie...

KWa hakika siku hazigandi, na hawakukosea walivyosema "What goes around comes around"!

Vile tunavyowaonaga ndugu upande wa Baba miyeyusho hasa mashangazi, tunavyowaonaga hawana maana, na sifa zote mbaya na matatizo tunayatupiaga kwa ndugu upande wa baba.


Hatimaye little brother katuletea kanew born na sisi (nikiwemo na mimi) tushakuwa mashangazi upande wa baba! Nasubiri tu nizeeke nianze kuitwa mchawi wakiumwa waseme shangazi ndio anawaroga!

Sema fresh Nakubali
Hongera kupata kitotoo.

Kivulana au kisichana?

Hizo habari za shangazi mchawi kwetu hazipo.
 
Wakuu habari za nyie...

KWa hakika siku hazigandi, na hawakukosea walivyosema "What goes around comes around"!

Vile tunavyowaonaga ndugu upande wa Baba miyeyusho hasa mashangazi, tunavyowaonaga hawana maana, na sifa zote mbaya na matatizo tunayatupiaga kwa ndugu upande wa baba.


Hatimaye little brother katuletea kanew born na sisi (nikiwemo na mimi) tushakuwa mashangazi upande wa baba! Nasubiri tu nizeeke nianze kuitwa mchawi wakiumwa waseme shangazi ndio anawaroga!

Sema fresh Nakubali
Ukiwa na hela wala hautaitwa shangazi, utaitwa Aunt na utapendwa sana. Kila siku atataka kuja kwa Aujt Lee.
Ila ukiwa huna hela jiandae kuwa shangazi lee ana roho mbaya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom