Light Saber Imetosha Sasa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,641
- 8,338
🤣🤣🤣 , Siyo poa .Ila shangazi yako amejua kunichekesha😂😂
Sema huwezi jua aliona nini Kwa huyo binti Hadi aliingilia Kati kukuepusha nae
Alikuwa anakuja hadi Ofisini ..
"Naitwa mama Fulani nimefanya kazi pale .. .. Sasa hivi ni mstaafu ... Namuulizia mwanangu Fulani ... 🤣🤣...
Shangazi kunyweni hata soda jamani ... Yeye ndo katutembelea alafu anatupa ofa .. 🤣🤣🤣 .....
Kwanza this weekend wacha nimtembelee nimjulie Hali