Finally, I'm that auntie from dad's side!

Finally, I'm that auntie from dad's side!

"Shangazi yako ndio kakufunga nyota usiolewe " 😁😁😁

ila mashangazi na mabibi huwa mnatukanwa na kutuhumiwa sana na wakwe zenu na hii ni kwa sababu ya kuingilia nyumba ya ndugu na mtoto wenu. Ukipunguza au ukijiepusha na hili, mchezo umeisha 😁😁😁
Hapa kwenye kuolewa sasa😂😂😂,. Nakaombea Tu kakifikisha 22yrs kawe tayari kamepata bwana maana najua akifikisha 30 Mie ndo nitakua suspect number moja..

Hata ukikaa mbali basi Tu itatafutwa namna 😂😂
 
Haha 😂 😂 😂 😂

Mia ya kuwaachieni anaitoa wapi wakati anavyoondoka yeye ndio anataka afungashiwe mazaga ya kurudi nayo kwake,.
Yule shangazi miyeyusho kinouma , hana pesa ila kwenye vikao ya ukoo ana mikakati kinouma , akitoka hapo utasikia shangaa na bia yangu moja kwako kwa kila wa wa kaka zake😅
 
Hapa kwenye kuolewa sasa😂😂😂,. Nakaombea Tu kakifikisha 22yrs kawe tayari kamepata bwana maana najua akifikisha 30 Mie ndo nitakua suspect number moja..

Hata ukikaa mbali basi Tu itatafutwa namna 😂😂
Kwamba umempiga lock asiondoke nyumbani 😁😁😁

Ila hizi issues hazizuiliki na sometimes unaweza kujikuta tu watoto wa ndugu zako wanakupenda au wakakuchukia kutokana na personality yako. Mfano mimi sikuwahi kuonekana kauzu udogoni ila watoto wa ndugu zangu baadhi huwa wananiona kama anko flani serious 😁😁

Kwa hiyo jiandae tu
 
Kwamba umempiga lock asiondoke nyumbani 😁😁😁

Ila hizi issues hazizuiliki na sometimes unaweza kujikuta tu watoto wa ndugu zako wanakupenda au wakakuchukia kutokana na personality yako. Mfano mimi sikuwahi kuonekana kauzu udogoni ila watoto wa ndugu zangu baadhi huwa wananiona kama anko flani serious 😁😁

Kwa hiyo jiandae tu
Ntaambiwa me ndio nafanya asionekane na vijana😂

Hapa ndio nawaza nianze kuwa charming kidogo ili wasiniogope nikiwa serious
 
Yule shangazi miyeyusho kinouma , hana pesa ila kwenye vikao ya ukoo ana mikakati kinouma , akitoka hapo utasikia shangaa na bia yangu moja kwako kwa kila wa wa kaka zake😅
Na yeye ndio anakuwaga WA Kwanza kupinga kila Jambo hatakama la maana bila sababu atataka akatae ili mumpe Attention 😂😂
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom