Light Saber Imetosha Sasa
JF-Expert Member
- Nov 3, 2017
- 4,639
- 8,336
Mwanae /Binamu alinambia baadae kuwa ulikuwa ni mkakati wa yeye kuniachanisha na Bi Fulani ATI hatuendani .. gademiit... Those months Mimi na shangazi Tulikuwa beneti hadi kwenda kula pamoja kwenye virestaurant , naandaliwa kahawa .... Tunapiga pyepyepye na kupanga mikakati....Msamehe jamani mambo hayakwenda vizuri,.
Sio miyeyusho😂
Jambo ambalo mwanae na bimkubwa walikuwa wanashangaa .. haujawahi Tokea akawa friendly na mtu kiasi kile