omaryahya5
New Member
- Apr 5, 2014
- 2
- 0
kama alivyokueleza mr. Dreson4 unaweza ifanya isome port kwanza afu baada ya hapo unachange firmware
https://docs.google.com/document/d/1nNuJcwOinQPwnUt9wU_MmL0rARWmK_AJozvQG-FQmfQ/edit?usp=sharing
https://www.jamiiforums.com/tech-gadgets-and-science-forum/496274-msaada-huawei-e303s-02-hilink.html
Waungwana mimi nimeweza ku-unlock hiyo modem lakini tatizo ni kwamba haiwezi kurudi ama ku-dial kupitia browser (hilink mode). Maana yake ni kuwa haiwezi kutumika katika mashine nyingine yoyote zaidi ya hii niliyoitumoa ku-unlock.
Any idea;namna ya kuiokoa hii modem?
Last edited by a moderator: